Recent content by Genius jack

  1. Genius jack

    Mambo ya kuzingatia unapokula Pweza na Ngisi njiani

    Madelu ni nani jomba? hahahaaaa
  2. Genius jack

    SoC01 If i'm a Leader, what would I do to ensure peace is achieved and sustained in Tanzania

    Leader is a person who have influential power over other people and which is rule other people, suppose I am a leader and I get time to talk with my fellow leaders inside and outside my country, I will take as advantage to use my influential power to teach and advise others what to do, to...
  3. Genius jack

    SoC01 Nitaishije Maisha Yenye Faida

    Hivi ulishajiuliza kwanini upo hai mpaka leo? Hili ni swali gumu sana lakini sio kila mmoja anaweza kutoa majibu sahihi, kwa ufasaha wa swali hili ni lazima mtu awe alishajiuliza ni kwanini kwanza anaishi. Ndipo aje ajiulize juu ya ukomo wa maisha. Lazima tukubali hakuna kitu kinaweza kutokea...
  4. Genius jack

    Mambo ya kuzingatia unapokula Pweza na Ngisi njiani

    Leo muda wa jioni nilikuwa maeneo ya Mbezi ya Kimara nilikuwa nimesimama namsubiri rafiki yangu pembeni kwa mbele kulikuwa na mtu anauza supu ya pweza na vipande vyake na ngisi na kachori.Nikiwa pale walikuja watu kadhaa kununua nilichokiona. Mteja alikuwa anachukua kijiti cha kuchomea anatoboa...
Back
Top Bottom