Hata hivyo CCM lazima ipigwe chini mwaka huu maana hakuna namna nyingine. huku mitaani Ukawa, Chadema na Lowassa ndio habari ya mjini. Tukutane kwenye sanduku la kura 25 Octoba
Ndg wana jamvi, tukiacha ushabiki wa vyama na kujielekeza katika uhalisia ni wazi kwamba jimbo la isimani limeiva kwa upinzani(ukawa) endapo tu watazichanga karata zao vyema. baada ya tathmini ya kina ni dhahiri ya kwamba Widman Masika ndiye anayeelezwa kuwa na nguvu kubwa ya ushawishi.
Pamoja...
ndugu ndani ya nchi hii hakuna hata siku moja kiongozi wa taifa hili kutoka ndani ya CCM aliwahi kutamka hadharani kukiri ya kwamba upinzani kwa sasa umekuwa na kuimarika isipokuwa Edward Lowassa pekee. amekiri hadharani kutambua nguvu za upinzani lakini pamoja na Muungano wa UKAWA bado hali...
eeeeh Mwenyezi Mungu ingilia kati watu wako tupate wepesi wa kutafakati, kupima na hatimaye kuzungumza au kusemea jambo tuliloelewa japo changamoto ni kwamba tofauti ya uelewa wa pamoja ndo utofauti tulionao binadamu
hawa wote ni viongozi wenye utashi, naamini watapima upepo lakini pia busara na hekima vinahitajika sana katika kuamua kwani kwenda vinginevyo ni kulipasua taifa....... mafuriko kwa mkono, impossible
Tukiacha ushabiki na hisia zenye kutawaliwa na chuki mh Lowassa amezungumza mambo ambayo yamewagusa watu wengi na kufufua matumaini ya matamanio yao ya maisha kwa siku zijazo.
my president is Lowassa haijalishi ni mnyakyusa au mmeru what matters ni kuirudisha nchi yetu kwenye msatari kwani mbali na kuwa kiongozi pia ni mtendaji mahiri. acha ashike dola atunyooshe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.