Recent content by GENERAL MIGGY

  1. G

    Naomba kujuzwa zilipo Ofisi za M BET

    Naombeni msaada wa ofisi za mbet wale wadhamini wa simba yeote mwenye ufahamu wa ofisi zao
  2. G

    Picha: Muonekano wa kuvutia wa Barabara ya Mbinga - Mbamba Bay

    Mbinga kuna milima sana kiasi kwamba kuna kaubaridi mno, toka mbinga mpka mbamba bay ni 66km ila mbinga baridi mbamba bay joto
  3. G

    Picha: Muonekano wa kuvutia wa Barabara ya Mbinga - Mbamba Bay

    Nilichogundua wengi hii barabara hamjaipita ukipita utaelewa kwanini wamefanya hivyo maana hicho ni kipande kidogo cha design hiyo viko vipande zaidi ya 20 kama hivyo unadhani mhandisi atajenga madaraja mangapi .... madaraja huongeza gharama zaidi katika ujenzi wa madaraja.
  4. G

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    mbona huko mbali sanah mpaka december basi hawatakua serious kwa kweliii
  5. G

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    inakeraaa sana kiukwelii ngoja fiber isambae hao wamitandao watatafuta pa kutafutia wateja
  6. G

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    daaaah ningeweka ya voda sema budget hairuhusu nawasikilizia hao ttcl yani
  7. G

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    kama kuna mtu anaishi maeneo ya kimara mpka mbezi na umeunganishe fiber ya ttcl nijulishe please
  8. G

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    naunga mkono kabisaaaaaa yani mtu wewe utashusha mafile ya kutosha utakayo sio kuwaza sio bunlde linaisha saa ngapi
  9. G

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    yes mkuu hii ni sahihi sanah tena hiyo 55k hata mwingine akitaka kutumia ni well and good huwazi sio mtu akae niwashie hotspot aisee ni mateso, na kama fiber ikisambaa mitandao ya simu watanyea debe aiseeee bora ya 55k fulu mzuka
  10. G

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    sidhani kama itakua hivyo kumbuka yeye ni monopoly isp nyingi na mitandao ya simu inategemea kununua data kutoka kwao sidhani kama itakua expensive ila bora hata hiyo 60k au 70k ila unauhakika haupimiwi bundle wewe unaflow tu wakati ukipiga hesabu ya bundle unalotumia mwezi mzima la kupimiwa...
  11. G

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    mkuu upo maeneo gani hapo unapotaka kufunga mie nitawasumbua sana sema pia watakosa wateja hivihivi kwa kutokua na umakini wa kuzingatia wateja wao yaani biashara tunaibembeleza wakati wao ndo wanafaidika kwa kupata mapato
  12. G

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    yaani unataka uangalie documentary ya maana hapo unawaza data doooh ndo mana netflix watumiaji ni wachache labda sasa hapo netflix itapata soko sana huku tanzania kupitia hizi fiber
  13. G

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    mkuu nikipata hii ya ttcl hawa mitndao ya simu watanisikia kwenye bomba aiseeee then mie naona mitandao ya simu nao hawajiongezi kuhusu hili suala la fiber watu tunataka big data
  14. G

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    hapa kwangu nguzo zimepita karibu so fibre cable ndo sijui ila wao wamesema bure
  15. G

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    mkuu hii ni unlimited au ndo zile unlimited za kupima unapewa 60gb au 200gb nieleweshe boss
Back
Top Bottom