Habari zenu wa kuu, Mimi ni mwanafunzi wa first year bachelor degree in Water resources Engineering, chuo Water development and management institute. natafuta field popote penye mradi/project ya building au wa maji kwa hapa mkoani Dar es salaa. natanguliza shkrani. Modules of two semester...
Kwa wale tulio chaguliwa kujiunga na masomo ngazi ya shahada kwa mwaka wa masomo 2014/2015, naomba tufahamiane hapa nakama lipo la kujuzana tuambizane wakuu. Natanguliza shukrani.
wekama hujui kitu kaa kimya mkuu hujalazimishwa kujibu!.
Wewe ni sawa na wela watu ambao unawaulizia TCU iko wapi anakuambia ipo dar, wakati kila mtu anajua ipo dar, tatizo nikwamba hajui ipo dar sehemu gani.
So, ukiulizwa kitu kaa kimya otherwise weka directed link to the concerning topic.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.