Recent content by Gen zy

  1. G

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    Angekuwa mpizani huyu asingerudi,wangemmaliza kabisa
  2. G

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    Tena ni shetani la kuzimu
  3. G

    JamiiForums Tanzania Tume Mpya ya uchunguzi wa mauaji ya Oct 29 na kizungumkuti cha kumtosa Yuda baharini!

    Walikuwa wanajigamba tanzania itatatua matatizo yake yenyewe maajabu wamekodisha majaji kutoka njr uganda na namibia
  4. G

    JamiiForums Tanzania Tupeane taarifa, Kesi ya Lissu tarehe 10 Agosti ipo kama ratiba inavyosema?

    Kutatokea tena pingamizi ambalo liakatiwa rufaa mpaka lisikilizwe itakuwa juni 2027
  5. G

    JamiiForums Tanzania Tunabuy time...... Tunabuy time 2030 itafika kimasihara

    Ngoja tuone
  6. G

    JamiiForums Tanzania David Djumbe: Nilipewa taarifa na mtu ndani ya mfumo kuwa natafutwa na ndani ya siku 3 ningepotezwa

    Hawa watu ni wanyama kabisa !!
  7. G

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tuorodheshei hapa mikoa kondoo yenye watiifu ambayo ilikuwa imepoa 29 October

    Geita,kahama,mwanza,iringa,tunduma,songwe
  8. G

    JamiiForums Tanzania Kwanini Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi hakuwepo kwenye mkutano wa Rais Samia na wafanyabiashara?

    Aliachiwa ofisi akusugue bench
  9. G

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: Tanzania haitayumbishwa kwa sababu ya mabeberu kutunyima misaada, labda watafute vikwazo vingine

    Walipe madeni ya watu basi deni la taifa liishe
  10. G

    JamiiForums Tanzania Aliyejirekodi na kuonyesha Kariakoo hakuna Watu na Maduka yamefungwa siku ya 77 apewa kesi ya Ugaidi

    Kwa sitahili hii kila mtu ajiandae kisaiklojia kufunguliwa kesi ya ugaidi
  11. G

    JamiiForums Tanzania Pre-Session Meeting ya tarehe 05 Agosti 2026 - Ni mwanzo kwa ATL kuwa Huru na Masharti ya Common Wealth Kufuatwa???

    Wao wanasema sisi ni soveren state hawashinikizwi na nchi zingine..yangu macho ngoja tuone!!
  12. G

    JamiiForums Tanzania Shauri la uhaini Tundu Lissu vs Jamhuri kuendelea Mahakama Kuu kuanzia August 10 - 7 Septemba, 2026

    Hahahaha wameshakwama na hii itakuwa aibu kwakweli
  13. G

    JamiiForums Tanzania Shauri la uhaini Tundu Lissu vs Jamhuri kuendelea Mahakama Kuu kuanzia August 10 - 7 Septemba, 2026

    Ushahidi waliotegemea kuendelea nao umepigwa chini huko mahakama ya rufaa sasa hapo kesi itaendeleaje
  14. G

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Amegeukwa na Boss wake?

    Yupo anasomeshwa namba
  15. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Afcon 2027 kuota mbawa Tanzania, Rwanda kuchukua nafasi

    Kwa hiyo itakuwaje mbona tushaanza maandalizi na kiwanja cha arusha kinakaribia kukamilika
Back
Top Bottom