Recent content by Gen zy

  1. G

    Jenerali wa IRGC Mohammad Zolghadr aliyeshika nafasi ya larjan aangamizwa

    Watawamaliza aisee bora wakubali mazungumzo ili yaishe
  2. G

    Inawezekana Kuna Mgawanyiko wa Madaraka Iran baada ya kufanyika mazungumzo kati ya Marekani na wawakilishi wa siri wa Iran

    Na wasiwasi na masoud huenda ndiye anayewadiliana na marekani yule ni kama agenti wa mosadi
  3. G

    Ukabila na Nepotism Serikalini: Janga Linalotafuna Utawala Bora na Umoja wa Kitaifa 🇹🇿

    Kuna na udini ndugu yangu umeshika kasi wavaa vikofia wanajiona huu ndio wakati wao
  4. G

    Iran yasema hakuna mazungumzo kati yake na Marekani, yadai ni njama za Trump

    Alianzisha vita sasa aendeleee aache mbwembwe
  5. G

    Iran yakishambulia kituo cha Nyuklia cha Dimona na kukiharibu kabisa

    Wameshaharibu rada zote ndio maana wanashindwa kutungua makombola
  6. G

    Wengi waigomea Idd el fitri ya BAKWATA, Wadaii Idd halali ilikuwa Ijumaa

    Ndio maana sioni hamshahamsha mtaani kumbe
  7. G

    Namuonea huruma Abbas Aradgchi

    Huyo ni shahidi kufa kwake itakuwa burudani
  8. G

    Hivi USA anataka nini hasa kutoka Iran. Kwani akikifanya Iran vita inaisha

    Huko tramp anataka mademu wa iran
  9. G

    Marekani yapanga kupeleka wanajeshi wa ardhini nchini Iran

    Wakienda huko hawatarudi watakatwa vichwa wote
  10. G

    Kumbe Iran wana makombora yanayofika hadi Ulaya?

    Aljazeera wamesema kambi hiyo iko umbali wa zaidi ya 5,000KM Mchambuzi ameshangazwa na iran kufyatua kombola lenye kusafili umbali huo wakati wamekuwa wakutangaza kuwa wanatengeneza makombora yenye umbali wa KM 2,000 tu
  11. G

    Meli ya mafuta ya Thailand yashambuliwa na Iran

    Wamejitakia wenyewe watajua wenyewe
  12. G

    Israel wanaficha lakini Iran wanaonesha... Hapo vipi?

    Kwa waarabu kashambulia zaidi rada na mifumbo ya ulinzi iliyokuwa inatumika kutoa taarifa kwa israel kila makombora yakirushwa kutoka irani ili yadunguliwe kwa urahisi!! Baada ya rada kusambaratishwa uarabuni sasa hivi israeli inabondwa haswa na uwezo wa kuyadungua umepunguwa
Back
Top Bottom