Aljazeera wamesema kambi hiyo iko umbali wa zaidi ya 5,000KM Mchambuzi ameshangazwa na iran kufyatua kombola lenye kusafili umbali huo wakati wamekuwa wakutangaza kuwa wanatengeneza makombora yenye umbali wa KM 2,000 tu
Kwa waarabu kashambulia zaidi rada na mifumbo ya ulinzi iliyokuwa inatumika kutoa taarifa kwa israel kila makombora yakirushwa kutoka irani ili yadunguliwe kwa urahisi!! Baada ya rada kusambaratishwa uarabuni sasa hivi israeli inabondwa haswa na uwezo wa kuyadungua umepunguwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.