Recent content by Gen zy

  1. G

    JamiiForums Tanzania Tupeane taarifa, Kesi ya Lissu tarehe 10 Agosti ipo kama ratiba inavyosema?

    Kutatokea tena pingamizi ambalo liakatiwa rufaa mpaka lisikilizwe itakuwa juni 2027
  2. G

    JamiiForums Tanzania Tunabuy time...... Tunabuy time 2030 itafika kimasihara

    Ngoja tuone
  3. G

    JamiiForums Tanzania David Djumbe: Nilipewa taarifa na mtu ndani ya mfumo kuwa natafutwa na ndani ya siku 3 ningepotezwa

    Hawa watu ni wanyama kabisa !!
  4. G

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tuorodheshei hapa mikoa kondoo yenye watiifu ambayo ilikuwa imepoa 29 October

    Geita,kahama,mwanza,iringa,tunduma,songwe
  5. G

    JamiiForums Tanzania Kwanini Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi hakuwepo kwenye mkutano wa Rais Samia na wafanyabiashara?

    Aliachiwa ofisi akusugue bench
  6. G

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: Tanzania haitayumbishwa kwa sababu ya mabeberu kutunyima misaada, labda watafute vikwazo vingine

    Walipe madeni ya watu basi deni la taifa liishe
  7. G

    JamiiForums Tanzania Aliyejirekodi na kuonyesha Kariakoo hakuna Watu na Maduka yamefungwa siku ya 77 apewa kesi ya Ugaidi

    Kwa sitahili hii kila mtu ajiandae kisaiklojia kufunguliwa kesi ya ugaidi
  8. G

    JamiiForums Tanzania Pre-Session Meeting ya tarehe 05 Agosti 2026 - Ni mwanzo kwa ATL kuwa Huru na Masharti ya Common Wealth Kufuatwa???

    Wao wanasema sisi ni soveren state hawashinikizwi na nchi zingine..yangu macho ngoja tuone!!
  9. G

    JamiiForums Tanzania Shauri la uhaini Tundu Lissu vs Jamhuri kuendelea Mahakama Kuu kuanzia August 10 - 7 Septemba, 2026

    Hahahaha wameshakwama na hii itakuwa aibu kwakweli
  10. G

    JamiiForums Tanzania Shauri la uhaini Tundu Lissu vs Jamhuri kuendelea Mahakama Kuu kuanzia August 10 - 7 Septemba, 2026

    Ushahidi waliotegemea kuendelea nao umepigwa chini huko mahakama ya rufaa sasa hapo kesi itaendeleaje
  11. G

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Amegeukwa na Boss wake?

    Yupo anasomeshwa namba
  12. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Afcon 2027 kuota mbawa Tanzania, Rwanda kuchukua nafasi

    Kwa hiyo itakuwaje mbona tushaanza maandalizi na kiwanja cha arusha kinakaribia kukamilika
  13. G

    JamiiForums Tanzania Hakuna maridhiano(USANII) hapa; acheni tu nchi izikwe rasmi tuanze upya.

    Mariziano ya nini tena
  14. G

    JamiiForums Tanzania Uamuzi shauri la Kikatiba la Lissu kujulikana Septemba 16, 2026

    Uwiiiiiiiiii kazi tunayo jamani yule kijana alikuwa kichwa !! It is so sad.....
  15. G

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Bwana Jela wa Ukonga, Andrew Ntamamiro akifanyiwa dodoso na Tundu Lissu - Siku ya kwanza

    Mbona hii kesi inaonekana kwenda kuathiri kesi ya uhaini mwishowe atakuja kulalamika kuwa magereza walizuia mawakili wake na nyaraka za kesi kumfikia kinyume na sheria
Back
Top Bottom