Recent content by Gen zy

  1. G

    JamiiForums Tanzania Kumbe hawa watu wako well informed of what transpired on 29th October 2025

    Hii section 5 ndio kaa la moto kabisa kwenye huo mswaada
  2. G

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama kuua wakati na baada ya Oktoba 29, 2025 ni kazi ya kutukuka, Tume mlizounda ni za nini?

    Nimeumia sana watoto wa watu waliouawa wanawaita AI
  3. G

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Muswada wa Bunge la Marekani ni kuingilia mchakato wa Tume ya Uchunguzi wa Kijinai

    Waliua watu wengi sana watu 518 ni wengi mno dunia haiwezi kuwaacha inashangaza bimsumi hadi sasa hashituki anaona tu kawaida!
  4. G

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Ted Cruz anayetaka Marekani ituwekee vikwazo, sio Rio Ferdinand wa kumhonga tiketi ya ndege na hoteli

    Hahahaha uwiii kwa mujibu wa makombo atakuja kujionea wakristu na waislamu wakisali na kufungisha ndoa kwa pamoja
  5. G

    JamiiForums Tanzania Full Text: The Reassessing the United States-Tanzania Bilateral Relationship bill

    RIpoti inalitaja jeshi la wananchi pia kuhusika na mauaji ya octoba,29
  6. G

    JamiiForums Tanzania Full Text: The Reassessing the United States-Tanzania Bilateral Relationship bill

    RIpoti inalitaja jeshi la wananchi pia kuhusika na mauaji ya octoba,29
  7. G

    JamiiForums Tanzania Full Text: The Reassessing the United States-Tanzania Bilateral Relationship bill

    RIpoti inalitaja jeshi la wananchi pia kuhusika na mauaji ya octoba,29
  8. G

    JamiiForums Tanzania Section No 5 kwenye muswada wa Maseneta wa Marekani ni msiba mzito kwa CCM na Serikali yake

    Uwiiiiiii kumbe ndio maana walikuwa wanapayukapayuka hii kitu sio mchezo!! Kama vimejumuishwa vyombo vya dola usishangae vikaitwa vikaitwa vyombo vya kigaidi
  9. G

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Kombo: Kila nchi tuliyoenda tuliambiwa kwanini Serikali haikuja mapema, tulidanganywa kuhusu matukio ya Oktoba 29

    Huyu mzee alivyoenda bunge la ulaya aliambiwa ni mwongo tangu kipindi hicho hajaweza kurudi tena
  10. G

    JamiiForums Tanzania Mwigulu kama amemsikia Lema huko Dodoma leo, sijui atakuwa kwenye hali gani

    Aya poa rafiki shukrani
  11. G

    JamiiForums Tanzania Mwigulu kama amemsikia Lema huko Dodoma leo, sijui atakuwa kwenye hali gani

    Kasemaje leo
  12. G

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand: Mimi si Mwanasiasa na sijaja Tanzania kuzungumzia siasa, sipangiwi cha kufanya

    Kama hafanyi siasa alifata nini bungeni
Back
Top Bottom