Kuweza kufikisha bidhaa yako sokoni, kwa wakati na kwa Gharama nafuu ni hitaji la msingi la Kila biashara
Lazima kila uwekezaji uupime kwa vigezo mbali mbali ikiwemo return on investment
Lakini pia uangalie Kila option iliyopo, kwa mfano uliopo je ni lazima uwe na van ya kwako ili usafirishe...
Dettol inafanya kazi vizuri sana nimepata warts nikatumia dawa za kunywa (alcovir), za kupaka(alcovir+ beta derm) mpaka sindano havikupungua hata kidogo.
Nimeuona huu Uzi 22 Novemba, tarehe 23 nikanunua Dettol na kuanza kuitumia mpaka sasa nimeona mabadiliko makubwa
Kuna utitiri wa warts...
Imetosha mkuu wachangiaji wengine wataendelea nilipoishia au palipopelea [emoji120]
Kesi itasomwa August 24 Tukiendelea kufuatilia tutajua mengi.
Asante.
Pia anadaiwa kujihusisha na biashara ya upatu kwa kukubali na kukusanya fedha kutoka kwa umma, akijifanya kwamba watafanya ujasiliamali wa ufugaji wa kuku na wangepata faida ya asilimia 70 ya mtaji wa awali waliowekeza kwa miezi minne na asilimia 90 ya mtaji wa awali waliowekeza kwa kipindi cha...
Nianze na la UPATU
SCENARIO ONE ;
Upatu una operate hivi.... Tufanye mwezi January alikusanya milioni 200 hawa watu watahitaji kulipwa mwezi wa nne/tano kulinga na tarehe walizowekeza.
Maana yake
Faida = 70% ya 200m ni 140m...faida milioni 140
UWEKEZAJI 200m
Jumla itabidi awalipe...
Nilitaka uone mashtaka yanayomkabili ili mjadala tuutazame pia kwa jicho la kiserikali/kisheria.
Nataka tuone kwanini wamemkamata na kumshtaki huyu jamaa.
Mashtaka 7
1.Kuendesha biashara haramu ya Upatu
2.Kukusanya mtaji kwa umma bila kuwa na leseni.
3-7.Matano yanahusika na utakatidhaji fedha
Tuwekane sawa HAJASHTAKIWA KWA KUTAKATISHA FEDHA PEKEE.
Mfanyabiashra na Mkazi wa Oysterbay jijini Dar es Salaam, Tariq Machibya miaka (29) maarufu kama Mr Kuku, akiwa kortini Kisutu kusubiria kusomewa kesi inayomkabili.
Mfanyabiashra na Mkazi wa Oysterbay jijini Dar es Salaam, Tariq Machibya miaka (29) maarufu Mr Kuku, amefikishwa katika Mahakama...
Kuna watu wanauliza yeye anapata nn sio swali la muhimu....
Iko hivi yeye amebeba RISK 100% kwa maana hiyo ATAWALIPA WAWEKEZAJI NO MATTER WHAT
Sasa umeweka 7m baada ya Miezi 4 akakupa 14m..
Initial investment 7m
Faida 7m
Swali la yeye anapata nn linaanzia hapo kwenye hilo Gawio ulilopewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.