wale vilaza wa UDOM walienda wapi hiviiiii........naona kuna kundi la vilaza linamiliki empire mahali fulani katika Africa.....yaan walioshindwa hata kupata C tatu form four wakaunga unga ndo tunategemea waongoze hiyo Empire kwa utashi........ kwa kujiamini ........
ONLY THE WEAK ARE CRUEL
EL ni kiongozi muri...atleast anajua tunahitaji nn kwanza....kujenga taifa lenye nguvu tunahitaji rasilimali watu...lakini sio watu wa hovyohovyo......tunahitaji watu wenye ujuzi tunaoutafuta kwa wingi wake.........leo hii kila mtu anataka mtoto wa jirani aishie college ya biashara na muziki kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.