Recent content by Geeky

  1. Geeky

    Tanzania to Rake in Capital Gains From U.S.$55 Billion Buyout of BG Group By Rival Shell

    Kiukweli inahitaji wataalam na uzalendo wa hali ya juu. Ni vile tunaona awamu hii ya JPM yeye hana makandokando hatuna shaka na pia yuko serious kusaka hela nadhani kazi ni kwa wataalamu wizara ya fedha.
  2. Geeky

    Tanzania to Rake in Capital Gains From U.S.$55 Billion Buyout of BG Group By Rival Shell

    Tanzania is set to collect millions of dollars in capital gains tax following Shell’s acquisition of BG Group, barely two years after banking $258 million in similar payments over the same gas resources. On Monday, Shell officially acquired BG Group and its assets in a $55 billion deal, touted...
  3. Geeky

    Lowassa anaumwa Parkinson's disease, urais atauwezaje?

    Franklin Roosevelt na JFK wote walikua wakiumwa Parkinsons na FDR ndiye rais aliyependwa zaid marekani akatawala vipindi vitatu. Wote hawa walikua ktk wheelchair. And so it happens when one is sick they aren't scared as well. It's often mostly presidents are well over 50 they have little to lose...
  4. Geeky

    Msimamo: Nitasimama na Majemedari Ninaowajua, Tuliopigana Vita Pamoja Nao...

    Ila Mzee Mwanakijiji bila 'goli la mkono' CCM itaendelea kutawala tu. Aliyeijenga na kuibomoa Tz ni Mwalim alijenga iman kubwa sana kwa hichi chama kimekua pango la wezi. Ila kwa wapinzani kuichukua nchi itawekwa historia upya na hiyo katiba mpya wanayoitaka ukawa itapatikana kinachonikosesha...
  5. Geeky

    Msimamo: Nitasimama na Majemedari Ninaowajua, Tuliopigana Vita Pamoja Nao...

    yaani wazee siasa za ulaya tofauti na bongo ila naamini Mungu yupo. nijuavyo (uwe huru kunirekebisha) Ulaya ambapo demokrasia imetoka kuna mfumo wa mrengo 'wa kushoto na kulia' kushoto mara zote ni malofa ila ni wengi hiyo ndiyo nguvu yao [wafanyakazi/watu wenye kipato cha kati] na kulia ni...
  6. Geeky

    Msimamo: Nitasimama na Majemedari Ninaowajua, Tuliopigana Vita Pamoja Nao...

    "Lets not forget that those who once sought power by riding on the back of a tiger, ended up inside" -- JFK inogural speech.
  7. Geeky

    Msimamo: Nitasimama na Majemedari Ninaowajua, Tuliopigana Vita Pamoja Nao...

    Mwanakijiji CDM nawashangaa ila inabidi nikushangae zaidi mchambuzi wangu makini hujui yale ni maamuzi halali ya chama chao na wao wameamua wakaja na press ya kumtangaza Lowasa kuwa mgombea part of democracy ni kuheshimu hilo pia wao wanadhamana na wanajua wanachofanya mie sidhani ni uamuzi...
  8. Geeky

    Sakata la Tegeta Escrow: Mengi awavaa Masele, Wassira na Maswi

    It's very naive to think that mengi is micromanaging everything i.e all the media houses, I think all have their managers. Personally I don't mind Mengi or his businesses and it's very easy for all of us to lose track of the obvious - the Escrow saga. Spin-offs like these always take the...
  9. Geeky

    Kufuru ya TPDC: Maoni ya baraza la ushauri la watumiaji wa huduma zinazodhibitiwa na EWURA

    IN SUMMARY ----------- INCREMENT: Middle level cadres and managers will be paid between Sh12.6 million to Sh28 million, if the proposals are approved Documents seen by The Citizen show that TPDC wants its lowest paid office attendants and drivers to earn Sh5.4 million and the topmost CEO Sh36...
  10. Geeky

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Kijiji cha Muungano Kata ya Chahwa mkoani Dodoma: CHADEMA 196, ADC 38 Mbozi; Mtaa wa Masaki: CHADEMA 99, CCM 44 Kigoma Mjini; Mtaa wa Gezaulole: CHADEMA 240, CCM 198 Ukonga; Mtaa wa Kivule Majohe: CHADEMA 231, CCM 77 Musoma Vijijini; Kijiji cha Muhoji: CHADEMA 197, CCM 464 Ubungo; Mtaa wa...
  11. Geeky

    ZAFANANA: Kashfa Zote Kubwa Zinaungwa na Nyuzi Zile Zile

    Wananchi wanataka mabadiliko ya kisiasa hawajajua mfumo ndio mbovu. hitaji la kubadilisha chama ndilo msukumo wa kila kitu bongo. Na ikiwa siasa ni kucheza na mind za watu basi sie tunachezewa sana na serekali na wapinzani vilevile
  12. Geeky

    Kwanini bei ya mafuta Haishuki Tanzania?

    Wametoa punguzo ila hawajatoa bei elekezi
  13. Geeky

    CUF: Tunalaani fitina za kuigawa UKAWA zinazofanywa na wana UKAWA

    Chadema wajanja sana nadhani wamemtuma kafulila achokoze moto hiki chama hatare. Sasa wanajua joto wataanza sogea mbali
Back
Top Bottom