Huku tunapoelekea nyumba ya jirani inazidi kubomoka, bila shaka baada ya azam kuachana na Ongala tutegemee taarifa yoyote kuanzia sasa katika viunga vya azam maana nawaona msimu huu wanataka kuvunja benki.
Wakuu habari za jumatano, natumaini mko vizuri na mnaendelea na majukumu ya kila siku, filamu ya EONII itakua filamu bora kuwahi kutengenezwa Tanzania na wasanii wetu.
Kwangu mimi hii ndo filamu nadhani yenye uzamini mkubwa kutoka Azam na ndio maana kimetengenezwa kitu bora zaidi chenye...
Habarini wanajamvi, bila ubishi wowote mtangazaji nguli wa BBC SALIM KIKEKE kutangaza kustaafu utangazaji katika shirika kubwa la BBC imani yangu ni mpango madhubuti kuwa anaandaliwa kurithi nafasi ya Dkt Ayoub Rioba wa shirika la utangazaji TBC, ni suala la muda tu tutasikia akiteuliwa na Rais...
Wakuu habari za jioni,
Naomba kufahamishwa ni benki gani hizi za International ambayo ipo vizuri katika utoaji wa huduma zake iwe ndani ya nchi hata nje ya nchi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.