ok hv ww huwa hujiuliz historia ya arsenal tmu nyng epl zkiongoza had Christmas huwa znabeba kombe ila arsenal ww umeongoza mara nyng sana Christmas na kombe hujabeba na sahv umeshnda mech hz ngap unajiona mwamba umesahu ulishaongoza league had pasaka na kombe hukuchukua ila kumbuka huyo chelsea...
kutosajil kabisa ilikuw haiwezekan kwa sabab tulishauza mabek watatu na ndio sabab inayotusumbua chelsea hilo dirisha mbali na kusajil viongoz wa ngaz tofaut tulitakiw tuwalinde wale mabek tuliokuwa nao ndpo tusajil frontline na midfielder mmoja ingependeza zaid
Sent from my WAS-TL10 using...
mount anatuzngua sana kwa nafas yake anahitajka mtu ambae awe anarahsisha mpira kwanza yeye hilo hawez anacheza mpira mgum kwa maana cio creativity pil hatengenez nafas,hawez hat kumdrible mchezaj sas namba kum gan huyo jarbu ku refer namba kum wa chelsea kabla ya mount na huyo chz havertz
Sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.