Recent content by Gea1

  1. Gea1

    GE2020 Lissu amwambia Rais Magufuli afungulie Vyombo vya Habari ili asisumbuke kuweka bando kuwaangalia wapinzani kwenye WhatsApp

    Tayat ushapiga kura na matokeo mmeshinda!! tusihesabu kura za mitandaoni tusubiri siku ifike..... msije kimbia humu... mkono ukatende haki ya moyo.😁
  2. Gea1

    GE2020 Lissu amwambia Rais Magufuli afungulie Vyombo vya Habari ili asisumbuke kuweka bando kuwaangalia wapinzani kwenye WhatsApp

    Fairness kwani wale mawakala wenu huwa wana kaxo gani mle ndani,???
  3. Gea1

    GE2020 Lissu amwambia Rais Magufuli afungulie Vyombo vya Habari ili asisumbuke kuweka bando kuwaangalia wapinzani kwenye WhatsApp

    Tukutane ktk box please hamasisha watu wajitokeze kwa wingi siku ya uchaguzi.. 😁
  4. Gea1

    GE2020 Lissu amwambia Rais Magufuli afungulie Vyombo vya Habari ili asisumbuke kuweka bando kuwaangalia wapinzani kwenye WhatsApp

    Uongo ..hamjiandikish mnalialia kuibiwa,.hata wewe ho hauna kadi,.... upo hapa unaleta propaganda za 47
  5. Gea1

    GE2020 Lissu amwambia Rais Magufuli afungulie Vyombo vya Habari ili asisumbuke kuweka bando kuwaangalia wapinzani kwenye WhatsApp

    Nilitaka nipite hiiviiii bila kuandika chochote kile. Umati nimeuelewa saaanaa km nilivyouelewa ule wa Lowasa. Ila mnapokwama wapinzani ni kupiga kura.. Kwa nn nasema kupiga kura, kwa sababu hapo utakuta waliojiandikisha kupiga kura ni 20% tuu ya nyomi lote uonalo... Pia vijijini ndani ndani...
  6. Gea1

    Viwanja vilivyopimwa Bagamoyo Mjini na Morogoro Msamvu

    Karibuni, viwanja vipo Bagamoyo karibu na ofisi za mradi wa malaria kwa mkoa wa pwani. na km 1 kutoka bahari ya Hindi. MOROGORO, vipo Morogoro Kwa mkundi makunganya.. bei kwa square metre ni sh 10000 Jirani na ENGEN PETROL STATION. UMEME UPO. BARABARA YA KWENDA DODOMA,, hata kiwanja cha kujenga...
  7. Gea1

    Mwanamke wa Kuzaa naye

    Nzuri hana kosa kajisemea ukweli wake.... ukimkosa nicheki nikuunganishe na mtu mmoja ila age ndio umeiminya
Back
Top Bottom