Recent content by GE700C

  1. GE700C

    Akutwa akimbaka mtoto (binamu yake) baada ya kumrubuni kumpa Shilingi 1500

    Walikufanyia nini..ila si mfuasi uyo,wafuasi wa huo mchezo wanataka mpaka ndoa ifungwe,halafu ukilifanya hilo we ushajitoa kabisa na yeye,ukimuona anaupemda ujue kwake limebaki jina tu sio ufuasi,tunachoamini cheupe kikiingia doa huonekana ndo imekua shida . .
  2. GE700C

    Akutwa akimbaka mtoto (binamu yake) baada ya kumrubuni kumpa Shilingi 1500

    Yaani jamaa unaonekana ulipitishwa kwenye uo mchezo wakati wa udogo wako na huenda ulishawishiwa kwa kuambiwa hivyo sio kwa pesa, ulidanganywa sana mtume kafa na miaka 63 ,qurani hadithi zinataka mtu aliefanya hivyo kuuwawa ndo mafundisho aliyetoa mtume sasa iweje useme hivyo..angalau...
  3. GE700C

    Miaka mitatu ya Hayati Magufuli, anaishi kwenye mawazo na fikra za watanzania

    Watoa rushwa na wapenda mtelezo walinyooka kweli..kazi kwa cheti cha kununua uwajibikaji inatokea wapi?izo kasoro Wapenda rushwa na wanunuzi wa vyeti lazima ..unafkiri uwajibikaji unatokea wapi mpaka cheti cha udaktari mtu anafoji...kama biashara inavyoweza zaidi na makabila flani basi...
  4. GE700C

    Miaka mitatu ya Hayati Magufuli, anaishi kwenye mawazo na fikra za watanzania

    Umeleweka sana... Mwinyi nae alimtaja JPM kwa kutamani angekuwa kama yeye..
  5. GE700C

    Viongozi wa CHADEMA ni Walaghai

    Yaani Afrika tuna changamoto sana ..majimbo ya watawala na watetezi yote hoi...na wao wanakimbia shida za wananchi..imekuwa kama mpira tu..
  6. GE700C

    Hivi kwanini nchi za Afrika ziliwakataa Wakoloni na leo tunawafuata huko kwao na Mabakuli mikononi?

    Walioona rahisi wataweza hawakujua wenzao walikuja na nguo wakati wao wakiwa na ngozi .....sasa zimekua nchi madeni ...wakati wao wanatengeza self driving vehicle ..nyie ndo mnafikiria kuwezesha kuwepo viwanda vya kuassemble vehicle...wazuri wakukariri maandishi ndo mbinu inayowapa elimu wengi...
Back
Top Bottom