Recent content by gdogani

  1. G

    Mshahara wa Nehemia Mchechu wa NHC ni USD 19,000 kwa mwezi

    WANA JF hivi kwanini tusijadili jambo KWA UTURIVU WITH SOBER MIND, HII HIZI KAMATI ZA BUNGE MBONA ZIKO KIMYA WAKATI YAPO MAMBO MUHIMU YA KITAIFA YANAYOSUMBUA KM UFISADI
  2. G

    NBS yasema Kingunge ni muongo, Thamani ya pato la taifa imeongezeka

    Kama uchumi unakuwa kwanini umaskini umeongezeka vijijini na mijini
  3. G

    Slaa amerejea nchini

    Sisi TUPO katika kampeni ZA wagombea urais NA sio hawa waganga njaa
  4. G

    Prediction: CHADEMA kupoteza majimbo 50% waliyokuwa wanayashikilia

    Sio kweli wagombea wanaendelea NA kampeni kama kawaida mbona kuna majimbo lowasa hajatembelea ina maana WAmekaa tu wanamsubiri lowasa
  5. G

    Lowassa katika kashfa mpya! Ni ya uuzwaji kiholela wa UDA

    Someni taarifa YA kamati YA bunge YA mashirika YA umma mtajua uuzwaji uda
Back
Top Bottom