Hapo sasa ndio ujuwe huyo kakomaa, anajua maisha sio shule tu. Tafadhali lichukulie hili positive! Maisha yanafundisha mambo mengi, ndio maana tukaambia kuwa uyaone, sasa tunayaona hayo yote.Niirahisi kujifunza kwa vitendo kuliko kwa kusikia tu, nimejifunza, nimeona na nimekiri haya yote. Ila...