Nilikua napenda wanavyotamka majina yao mwishoni mwa uchambuzi au ripoti
Enzi hizo kila siku sa kumi na mbili na nusu nawahi mkulima ya mzee natafuta radio one napata habari and by the time nilikua secondary school tu lakini nilivutiwa na utangazaji wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.