Recent content by GBFAVOR

  1. GBFAVOR

    Mitume na manabii ni wagonjwa wa akili waliochangamka?

    Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu; kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe. (Efe 4:11-12)
  2. GBFAVOR

    Je, kuna mwanadamu aliyewahi kuwa na nguvu, mamlaka na miujiza kumzidi Nabii Issa?

    Hakika, mimi pia nafahamu Yesu pekee, Jesus Son of God, mwana pekee wa Mungu aliye hai.
  3. GBFAVOR

    Baba wa Manabii na Mitume wote Ibrahimu au Abrahamu alikuwa Dini gani?

    Mwamini yeye aliyesema " Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko. Yohana (8:56&58)
  4. GBFAVOR

    Mitume na manabii ni wagonjwa wa akili waliochangamka?

    Huduma ya Unabii na Mitume ni mpango wa Mungu Mwenyewe. Wapo walio jaribu kuangamiza huduma hizi hapo zamani, mwisho waliangamia wenyewe, kitu cha kufanya ni kumwomba Mungu akupe macho ya rohoni (spiritual discernment) uweze kujua yupi wa kweli na yupi wa uongo. Kwa wale ambao bado hawamwamini...
  5. GBFAVOR

    Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

    Kama unasoma Biblia, mbona hayo ni mambo ya kawaida sana, kwa watumishi wa Mungu aliye hai, lakini kama usomi wala huamini Biblia, ndio utaona ni jambo la ajabu.
  6. GBFAVOR

    Dawa ya wadudu wanaokula mbao ni ipi?

    Na mimi naomba anayefahamu dawa nzuri na ya uhakika ya kuua viroboto. Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
  7. GBFAVOR

    Humphrey Polepole: Shule ya Uongozi

    Mungu atusaidie tufahamu maana ya uzalendo Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
  8. GBFAVOR

    RC Makalla: Machinga wote Dar walio katika hifadhi ya barabara, Wataondolewa na vibanda vyao kuanzia Septemba 13, 2021

    Siasa ikiwekwa pembeni mambo yatakwenda vizuri Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom