Recent content by GazetiHuru

  1. G

    Paris Attacks:The West is reaping the hate it planted in the Middle East.

    kwanini mataifa mengine hayapewi uzito kama walivyoipa ufaransa? wengine tuko dunia gani?
  2. G

    Paris Attacks:The West is reaping the hate it planted in the Middle East.

    Leo dunia nzima inalia sababu ya paris-ufaransa kila mtu anaomba kwaajili ya amani ya ufaransa kitu ambacho ni kizuri.mpaka sasa ufaransa imepoteza takribani watu 120 katika mashambulizi yaliyofanywa jijini paris lakini kanakwamba haitoshi mtandao wakijamii wa facebook umeunga mkono maombolezo...
  3. G

    Open letter to Tanzanians

    OPEN LETTER TO TANZANIANS Dear Today everything comes under the laws of competition and the survival of the fittest where the powerful feed upon the powerless. As a consequence, masses of the people find themselves excluded and marginalized: without work,without possibilities,without any means...
  4. G

    maumivu ni sehemu ya majifunzo

    ukilala katika kitanda ambacho kimezungukwa na moshi mzito wa koroboi huku mbu wengi wakipiga kellele na kukuuma huku upepo mkali ukivuma kupitia dirisha lililo zuia na kipande kuukuu cha khanga huku moyo wako ukikuuma kwa woga baada ya kujihakikishia kuwa mlango wa nyumba yako ulojengwa kwa...
  5. G

    Magazeti: Zitto ataja majina ya walioficha mabilioni Uswizi

    mbona lipumba hajazi wala mbatia ....hebu angalia majimbo mengi ya ukawa kachukua cdm sasa nan anapumulia kwa mwenzie
  6. G

    Magazeti: Zitto ataja majina ya walioficha mabilioni Uswizi

    slaa alikuwa na mpango wa kuanzisha cdm kama zito kwa act? je sita angekuja cdm na kugombea urais hapo angekuwa kiongoz wa chama?
  7. G

    Magazeti: Zitto ataja majina ya walioficha mabilioni Uswizi

    jibu maswali yangu hafu ndo uniulize...kumbka hujanijibu chochote mpakasasa
  8. G

    Magazeti: Zitto ataja majina ya walioficha mabilioni Uswizi

    zit ana umri gani ndani ya ACT na je anasifa ya kuwa kiongozi wa juu? kwa katiba ipi ya ACT toleo la kwanza? au lile la pili la kina mwigamba na prof kitila?
  9. G

    Magazeti: Zitto ataja majina ya walioficha mabilioni Uswizi

    hivi yule mwenyekiti wa kwanza wa ACT yuko wapi na aliachje madaraka na ili iweje na ulikuani mpango wa nani wakati ana kesi gani na katiba ya ACT ilkafanywaje ili kumsaidia nani? NAOMBA MAJIBU NDO UTOE KWAHERI YAKO
  10. G

    Magazeti: Zitto ataja majina ya walioficha mabilioni Uswizi

    kilio cha wananchi wa mtwara kimejibiwa lini na kivipi kwa miswada tajwa bungeni?
  11. G

    Magazeti: Zitto ataja majina ya walioficha mabilioni Uswizi

    Mwanzoni ulipotakiwa kufukuzwa CHADEMA ulisema utafia CHADEMA na mimi hapo hapo nikapata kujua kua wewe ni mzalendo wa kweli nami nikakuunga mkono nikasahau yote waliyokuzushia juu ya ACT. Ila juzi pale Mwembeyanga ulinitonesha kidonda kwa kutaja wale watanzania walioficha mabilioni ya fedha nje...
  12. G

    Nahitaji mawazo yakinifu

    hi greater thinckers one challenge below👇👇respond pls nani anapaswa kulinda haki ya kupiga kura kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ikiwa serikali kwa makusudi huvifunga vyuo wakati wa uchaguzi ingali hali wanafunzi hao wamejiandikisha kwenye vituo jirani na vyuo vyao??? welcome for...
Back
Top Bottom