Kifupi nimeshauri tu km inawezekana ni bora ukalipia huko huko benk ni kwel morogoro zipo na kuhusu medcal fee kama una kitambulisho cha bima ya afya lipia 20000 badala ya 60000.
Hakikisha una admission letter ambayo utai downlod kwenye profile yako ya chuo pword kaangalie kwny email yako na vyet vyako vyote kop 2,na ushauri wangu km upo mkoan lpa kabisa michango yote kwan benk za huku znajaa sana pia km una bima ya afya kwenye medcal fee lipa 20 badala ya 60,ila mambo...
Kubadili kozi ufanyika vyuoni lakini kubadili chuo hii sina uhakika sana lakini ukiwapigia TCU wana majibu mazuri zaidi mana walitoa nafasi hiyo ila muda ulishakwisha.
Nenda kwenye email yako utakuta username na password ya kuingia kwenye profile yako ya chuo [suasis] hapo uta downlod addmissin letter na student invoice pia utaona registration namba, over.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.