mossad007 naomba uni PM namba yako. mimi binafsi nililima Nyanzwa msimu huu ulioisha. nimejifunza mengi na kupata changamoto nyingi sana. kwa sasa plan ni kulima tena lakini nataka nisogee barabarani. wiki iliyopita nilienda kufanya survey ruaha mbuyuni , msosa na kware. nilipapenda sana kware...
Hallo jf members
poleni na majukum
mimi binafsi ni developer mdogo ambaye napenda sana kujifunza...
mara nyingi ugumu unakuja pale unapokuwa peke yako na gugo tuu
nilishatengeneza native apps za android lakini baada ya kuangalia technology inavyoenda nataka nitengeneze hybrid app kwa kutumia...
Habarini wajasiriamali. Mimi binafsi ni mfanyakazi na mkulima.
Ninalima vitunguu maji huko Mtandika mbele ya Aljazeera. Nafurahia kulima ingawa nakabiliana na changamoto lakini nashukuru Mungu nazikabili kwa uwezo wake. kwa sasa nataka nianze survey kwa ajili ya kulima kitunguu swaumu...
Nimesoma views na mimi nimefaidika sana. shukrani wote.
Mimi pia nipo dar heb malila naomba uni PM nijue mnakutana wapi na lini.
Vile vile natafuta sehemu wanazolima vitunguu swaumu nikafanye survey. mimi binafsi pia nalima vitunguu maji maeneo ya mtandika mbele ya Aljazeera. kijiji kinaitwa...
Aisee hongera sana mossad007.
Mimi binafsi nalima kitunguu ndo nimeanza mwaka huu 2015 maeneo ya mtandika ndani huko kuna kijiji kinaitwa nyanzwa.
Evaluation uliyoitoa ipo sahihi kabisa. binafsi nimekutana na changamoto kama. umbali maana kutoka barabarani mpaka huko kijijini ni kama 45km. na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.