Sheria inasema ni Uhaini lakini alichosema Lisu na kilichoandikwa kwenye Particulars of Offense ni Uasi. Kwani Uchaguzi unaendeshwa na Nani? Government!! Nafikiri ungeeleza Uhaini na Uasi, na je hayo maelezo ya Lisu kwenye Particulars of Offense yana align wapi. Hata hivyo DPP anaweza...
Msanii hujamwelewa Waziri, alikuwa anasistiza umakini wa Raisi kusikiliza hoja za watendaji wake wake na kuwafundisha, kuwaelimisha na kuwapa hekima wasaidizi wake. Msanii😁 please read between the lines of the whole speech.
Siyo kweli baada ya nusu saa ndege kutua Yemen crooks ndipo waliporusha kombolo wala hajaumia.
Pro-Iranian Yemenite terrorists claim ballistic missile attack on central Israel targeted Prime Minister Netanyahu’s plane as it arrived at Ben Gurion Airport.
By World Israel News Staff...
Mathayo 22:21,
Marko 12:17
Luka 20:21-25
21 Wakamwuliza, wakisema, Mwalimu, twajua ya kwamba wasema na kufundisha yaliyo ya haki, wala hujali cheo cha mtu, bali unafundisha njia ya Mungu kwa kweli.
22 Je! Ni halali tumpe Kaisari kodi, au sivyo?
23 Lakini yeye alitambua hila yao, akawaambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.