Au mwandishi angewasikiana na NACTE watampa vielelezo vyote otherwise analeta siasa za maji taka na kupoteza muda wa watu kujadili hoja wasiyoweza kufikia Conclusion.
Kama kweli unatafuta ukweli nenda NACTE
FULL STOP!
Huyu anayeleta hoja hapa nadhani hii Nguvu angeitumia kuwasiliana na Uongozi Wa shule ya Ihungo wangemweleza wao walimpokeaje mwanafunzi wa kidato cha tano asiyekuwa ma cheti cha form four....
Au kama kipo wangemjulisha na kumpatia template pia maana siyo siri.
Na hapo angekuja hapa nan hoja...
Kwani Slaa aliondolewa Chadema na Mbowe au alijondoa mwenyewe Chadema kwa kujiuzuru Ilatibu Mkuu (Same as Lipumba?) Acha siasa za kijinga jinga we Dada!
Tena kibaya zaidi Slaa aliacha Jeshi likiwa kwenye mapambano karibu kabisa na kumshinda adui. Ila kwa tamaa zake za Mali na ulafi akaamua...
Station Zote zipi we pumba. ITV, Chanel 10 ambazo zilikuwa haIonyeshi uzinduI uo muda huo zilibaki ewanu ila Azam na TBC zikazimika.
This was planned for sure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.