wewe wachezeshwa na nani kama chadema wqchezeshwa na mbowe? af kwa huyo uliyeshirikiana naye kuweka hoja hii mnapaswa kujua kuwa watu wa aina yenu ndio huwa mnazungumza kuhusu ukabila na ukanda na vingine vingi ambavyo kiukweli havina tija ktk maendeleo ya kwenda kwenye mabadiliko
sorry wewe na mwenzko hapo juu cjawaelewa nasema hivo maana maada ni nyingine af nyie mnayo nyingine,kwa kifupi kabisa naomba tusaidiane kutafakari maneno ya aliyewahi kuwa kiongozi wa libya"ama huwezi ingia kitandani ukaupige ucngz!!
nikushauri k2 tena kzr!? fanya hivyo na kwa babaako kamwambie hv unavyotuambia humu....yn umwambie iv!!! baba unapumulia mashine umeckia...haya kimbia sa iv.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.