Recent content by Garnacho

  1. G

    JamiiForums Tanzania Yanga mtakataa kucheza ikitokea mnakutana na Simba kwenye CRDB Federation Cup?

    Watanzania wengi, hasa mashabiki wa simba akili zao zipo kwenye naniliu! 😂😂😂
  2. G

    JamiiForums Tanzania Hongera sana kwa ukomavu wa kidemokrasia wanachadema, najiunga rasmi kuwa mwanachama

    Kwanza nikiri, sikuwahi kuwa mwanachama wa chama chochote Tanzania, nilikuwa tu shabiki wa chama hiki (CHADEMA) lakini nilivunjwa moyo baada ya Hayati Lowassa kupokelewa na kujiunga na chama hiki. Kitendo hicho kilinikwaza sana nikaamua kubaki neutral coz niliona kama viongozi wa chama ni...
  3. G

    JamiiForums Tanzania KURA YAKO: Freeman Mbowe, Odero Charles na Tundu Lissu

    LISU 🔥🔥🔥
  4. G

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya ulinzi ya Risk Insight iliyopo Masaki acheni kutunyanyasa wafanyakazi wenu (Walinzi)

    Wadau, leo ni tarehe 7/01/2025. Mpk sasa baadhi ya Wafanyakazi wa kampuni hii hatujalipwa mishahara ya mwezi wa December mwaka jana, cha ajabu malipo kwa wafanyakazi yamekuwa yakifanyika kwa mafungu mafungu bila taarifa yoyote kutolewa ili kuwajulisha wafanyakazi nini kinachoendelea ndani ya...
  5. G

    JamiiForums Tanzania Kwa uzoefu wangu, sehemu zenye Waha wengi ni ngumu sana kufanya biashara

    WAHA NI WAPUUZI SANA! 😂😂
  6. G

    JamiiForums Tanzania Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

    Labda rais wa Manzese ukamrithi MADEE! 😂😂
  7. G

    JamiiForums Tanzania Karibuni kwenye Pub yangu inaitwa Runway Pub yangu iliyopo Kinyerezi Mahakamani

    Tuwekee picha za baadhi ya wahudumu tuone kama wana NYASHI! 😂😂
  8. G

    JamiiForums Tanzania Kati ya Hersi kuwa Rais wa vilabu Afrika na Simba kuwa Pot 1, lipi ni jambo la heshima Kwa Mpira wa Tanzania?

    Ongezea na Jwaneng Galaxy, Simba na Holoya 1😂😂
  9. G

    JamiiForums Tanzania Hivi kumbe SportPesa ni wahuni kiasi hiki?

    🤣🤣🤣🤣🤭
  10. G

    JamiiForums Tanzania Hivi kumbe SportPesa ni wahuni kiasi hiki?

    Well said, kampuni yangu pendwa hii ya ubashiri! 💪
  11. G

    JamiiForums Tanzania Hermes sandals size 42

    Tatizo mbali boss, nipo Airport kuzifata huko gharama itakuwa kubwa sana.
  12. G

    JamiiForums Tanzania Hermes sandals size 42

    Umeshauza? Na kama bado, upo Dar sehem gani?
  13. G

    JamiiForums Tanzania Naombeni sapoti yenu, nimefungua Pub yangu Kinyerezi

    Kuna madem wanaojambia mbali? 😂😂
  14. G

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Jipatie Samsung Galaxy a03 core kwa bei ya kutupa

    Karibuni wapendwa Simu HAINA TATIZO LOLOTE Inapatikana maeneo ya airport DSM Bei yake NI 160k Serious buyers karibuni DM
Back
Top Bottom