Recent content by GanjaPlanter

  1. GanjaPlanter

    Wataalamu wa ujenzi: Shimo la choo linajaa maji

    Water table iko juu sana... Suluhu ni kuwa na system ya kunyonya malighafi na gari au kuunga na public sewer..
  2. GanjaPlanter

    One Struggle, Many Fronts. Forward ever, Backward Never... Tumeamua kuangalia mbele!

    Halafu.. Nimeona inayoelezwa kuwa nakala ya fomu uliyojaza mali na madeni (yanayoweza kuwa public tu) Umejitambulisha kama Kiongozi wa Chama... Woga ulikuwa upi kujaza "Kiongozi Mkuu wa Chama" kwasababu kiongozi hata kijijini yupo.. Unaona licheo linakuaibisha hivi? Nimalizie kwa kusema...
  3. GanjaPlanter

    One Struggle, Many Fronts. Forward ever, Backward Never... Tumeamua kuangalia mbele!

    Nimuulize kaswali kadogo tu.. Kwanini maCCM ndio yanayoumia zaidi wakati anaadhibiwa na chama makini Chadema kwa usaliti? Alishindwa kuwaambia wasiwe mbelembele sana watashtukiwa!?
  4. GanjaPlanter

    One Struggle, Many Fronts. Forward ever, Backward Never... Tumeamua kuangalia mbele!

    Ni lini Zitto amewahi kuidiss CCM? hata kwenye kikao tu.. Anayejua anisaidie nielewe ataanzaje kupambana na CCM waliomfikisha hapo Watanzania sio mazuzu.. Juzi akiwa EATV alikiri mwenyewe kuwa alianzisha chama akiwa ndani ya chama..
  5. GanjaPlanter

    Kinana amekuja Arusha lakini habari za ziara na CCM nazisikia kama niko mpakani mwa Tanzania

    Wiki hii inayomalizikia leo Arusha ilikuwa na ugeni wa Katibu Mkuu wa CCM Bw A Kinana na Katibu wa Itikadi wa chama hicho Bw N Nnauye.. Ziara ya viongozi hao wa chama Jijini hapa ilifuatia kukamilika kwa maeneo mengine ya mkoa wa Arusha. Jambo la kipekee ni kuwa maeneo yote waliyopita...
  6. GanjaPlanter

    Wananchi Waandamana Jijini Arusha Kudai Huduma ya Maji, Mbunge Lema Asaidia Kutuliza Munkari

    Petro usitie shaka... Intelijensia iko vizuri sana..
  7. GanjaPlanter

    Red Brigade waliomtesa mlinzi wa Dkt. Slaa watelekezwa na CHADEMA!.

    Wenyewe ni watanzania wanaodai mabadiliko... Ilipozinduliwa M4C lengo kuu ilikuwa kukikabidhi chama rasmi kwa umma ukigharamie na uwe na uhalali wa kushiriki moja kwa moja kupigania mabadiliko badala ya kusubiri wengine wafanye..
  8. GanjaPlanter

    Red Brigade waliomtesa mlinzi wa Dkt. Slaa watelekezwa na CHADEMA!.

    Nape bana... Lakini ndio kazi yenyewe..bila kuandika rojo hizi tumbo litasinyaa
  9. GanjaPlanter

    Wananchi Waandamana Jijini Arusha Kudai Huduma ya Maji, Mbunge Lema Asaidia Kutuliza Munkari

    Mamia ya Wananchi wakazi wa Jiji la Arusha muda huu wako katika ofisi za Mamlaka ya Maji Jijini hapa AUWSA kuhitimidha maandamano ya kuishinikiza mamlaka hiyo ya Maji kutoa majibu ya kukosekana kwa maji kwa takriban wiki moja sasa kwa maeneo mengi ya Jiji bila taarifa yeyote. Wanataka pia huduma...
  10. GanjaPlanter

    Kumekucha CHADEMA, Mwenyekiti wa Wilaya Mkoa wa Arusha na Mjumbe wa BAWACHA warudi CCM

    Kwanini unakazia "wanaojitwmbua" au unaogopa kuukiri ukwli kuwa ni mazuzu tu na wasaka hela ndio wako huko?
  11. GanjaPlanter

    Kumekucha CHADEMA, Mwenyekiti wa Wilaya Mkoa wa Arusha na Mjumbe wa BAWACHA warudi CCM

    Kuna jamaa anaitwa Beda..alikuwa Mwenyekiti huko Arumeru Magharibi miaka ya nyuma...akashindwa uchaguzi akakimbilia ACT, hakukaa akakimbilia ugambani.. Badala yake Chadema wakashinda kuongoza Halmashauri ya Mji Mdogo wa Ngara.. Jiandaeni kusikia na huyu akitajwa kwa style ile ile kuwa amehamia...
  12. GanjaPlanter

    Kumekucha CHADEMA, Mwenyekiti wa Wilaya Mkoa wa Arusha na Mjumbe wa BAWACHA warudi CCM

    Yaa ni sawa na Mwandishi aandike leo.. "Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Arusha Samson Mwigamba ahamia CCM" au "Aliyekuwa Diwani wa Chadema Kimandolu Eatomih Mallah Ahamia CCM" Ni vistori vya kuunganisha unganisha kupata hoja.. Mnachukua watu kwa historia zao mnawabatiza ucjadema leo..
  13. GanjaPlanter

    Ofisi ya Bunge: Hatujapata taarifa rasmi ya Zitto kuvuliwa uanachama CHADEMA

    Naaam.. Hii ndio kweli yenyewe MaCCM yanalia kweli kweli.. Ishara kwamba wanamuonea huruma mtumishi wao..ameshindwa kazi..ameshitukiwa
Back
Top Bottom