mashimo kama drafti ukikwepa moja unaingia la pili yake Leo niliona malori mawili yamepiga chini sehemu mbili tofauti kwaharaka nikajua tu chanzo ni kukwepa mashimo
mambo ya kubeba mabango pelekeni huko ulaya hapa ni violence tu watuue wote kama wanaweza utawala gani afrika uliwahi kuangushwa kwa mabango? Wewe unaweza kuachia chimbo lako la hela kwa kuonyeshwa mabango? Acheni masihara HAKI HAIOMBWI
huu ni ujinga maandamano ya amani wakati watawala wenyewe hawajali kuhusu amani? Yale maandamano ya mo29 ndio yanafaa kwa serikali yenye dharau kama hii choma kila kitu kuanzia hapo ulipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.