Recent content by Ganjafarmer

  1. G

    Shilole apata ajali akitoka kushiriki 'Pilau day' Kigoma

    Mungu saidia ng'ombe apone haraka akaendelee na majukumu yake
  2. G

    Jinsi ya kujilinda na watekaji

    tindikali inapatikana wapi?
  3. G

    KERO Barabara ya Mjimwema (Kigamboni) kwenda Dege ina makorongo sana

    mashimo kama drafti ukikwepa moja unaingia la pili yake Leo niliona malori mawili yamepiga chini sehemu mbili tofauti kwaharaka nikajua tu chanzo ni kukwepa mashimo
  4. G

    Maandamano ya tarehe 25.12.2025 tuwe na agenda kuu nchi nzima kama ilivyokuwa tarahe 29.10.2025

    Maandamano ya amani tuwaachie watu wa matamasha huko
  5. G

    Maandamano ya tarehe 25.12.2025 tuwe na agenda kuu nchi nzima kama ilivyokuwa tarahe 29.10.2025

    mambo ya kubeba mabango pelekeni huko ulaya hapa ni violence tu watuue wote kama wanaweza utawala gani afrika uliwahi kuangushwa kwa mabango? Wewe unaweza kuachia chimbo lako la hela kwa kuonyeshwa mabango? Acheni masihara HAKI HAIOMBWI
  6. G

    Tunapoteza muda, maandamano ya amani ni kwa ajili ya makongamano

    huu ni ujinga maandamano ya amani wakati watawala wenyewe hawajali kuhusu amani? Yale maandamano ya mo29 ndio yanafaa kwa serikali yenye dharau kama hii choma kila kitu kuanzia hapo ulipo
  7. G

    PostGE2025 Sheikh Nurdin Kishki: Yanayoendelea nchini 90% yana msukumo wa upande wa kushoto

    "mtanzania mwenye asili ya Asia " akili yangu ilikataa kabisa kukubaliana na hii sentensi
  8. G

    Ni kweli uwezo wa kijana Mika Chavala kifikra unazidi nusu ya wabunge wote wa mchongo?

    watu wenye akili hawatakiwi kwasababu ni tishio kwa majambazi yanayojiita serikali
  9. G

    Sipo tayari kuandamana tarehe 9 bila silaha ya moto, Bora nilale

    Sema kweli bana isije ikawa kama wale waliotujaza upepo kwamba jeshi lipo upande wetu kumbe lilikuwa linatusimamia ili tupigwe risasi vizuri
Back
Top Bottom