Shirikisha na akili mkuu,tuendelee kuachia nchi mijizi ya Ccm?
Mruma aliyeongoza report ya makinikia naye ni walewale sasa unasema wachape kazi kazi gani ya kutuibia?
Ccm hampaswi kuendelea kubaki madarakani
Huwezi kulikataa tatizo kwa kujidanganya kuwa halipo
Think wise,hii ni sinema,kuna watu sana kinga na kama hawatatajwa basi ni sawa na maigizo tu
Jiulize hawa wanaojiita SIMBA sijui nini mbona hawajawahi kujulikana?
Ni akina Nani?
Tatizo letu hatutaki kukubali changamoto na matatizo yalliyopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.