Habari wadau
Hivi kibali cha uhamisho kutoka kwa katibu mkuu-utumishi hutumwa kwa njia ipi?
Na pia huweza kutumia muda gan hadi kufika? Maana yapata mwezi sasa kibali changu kilitumwa kwa mwajri wangu huku Tanga lakni bado hakijafika hadi sasa.
msaada tafadhali, hiv kbali cha uhamisho kutoka kwa katbu mkuu-utumishi hutumwa kwa njia ipi (n posta au) na je huchuchua muda gani hadi kufka? maana mm kbal cha uhamisho kltumwa kwa mwajir wangu huku tanga yapata mwez sasa bado hakijafika had sasa
mimi ni mwalimu wa sekondari ajira mpya mwaka huu 2015, lakini kabla ya ajira hii nilikua nmefanya maombi mbalilimbali ya kazi ya kufundisha vyuo vikuu (tutorial assistant) sasa imetokea mungu kanisaidia nimepata kazi chuoni mwezi huu,sasa nilikua nimeandika barua kwa katibu mkuu utumishi ili...
Mimi ni mwalimu wa sekondari ajira mpya mwaka huu 2015, lakini kabla ya ajira hii nilikuwa nimefanya maombi mbalilimbali ya kazi ya kufundisha vyuo vikuu (tutorial assistant).
Sasa imetokea mungu kanisaidia nimepata kazi chuoni mwezi huu, sasa nilikua nimeandika barua kwa Katibu mkuu utumishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.