Recent content by Ganaz Sc

  1. G

    Kibali cha uhamisho

    Bora umemwelewesha ww,thanks mr Mwanyasi
  2. G

    Msaada: Kibali cha uhamisho

    yaap best, mm n uhamisho wa kubadil kada ndio maana unahusisha utumishi na sio tamisemi
  3. G

    Msaada: Kibali cha uhamisho

    Ok asante,n macjala wa kule utumishi au?
  4. G

    Msaada: Kibali cha uhamisho

    Habari wadau Hivi kibali cha uhamisho kutoka kwa katibu mkuu-utumishi hutumwa kwa njia ipi? Na pia huweza kutumia muda gan hadi kufika? Maana yapata mwezi sasa kibali changu kilitumwa kwa mwajri wangu huku Tanga lakni bado hakijafika hadi sasa.
  5. G

    Kibali cha uhamisho

    msaada tafadhali, hiv kbali cha uhamisho kutoka kwa katbu mkuu-utumishi hutumwa kwa njia ipi (n posta au) na je huchuchua muda gani hadi kufka? maana mm kbal cha uhamisho kltumwa kwa mwajir wangu huku tanga yapata mwez sasa bado hakijafika had sasa
  6. G

    Kuhamisha ajira Serikalini

    ckuiptsha coz niliomba ajra hii ya chuoni kabla ya kuajriwa hko halmashaur
  7. G

    Kuhamisha ajira Serikalini

    yy inabd aiptishe barua yangu ila hataki,mkurugnz yy hana tatzo kasema ila shda n huyu afsa elmu. Ila afsa utumsh hpa kanishaur nianzie juu process
  8. G

    Msaada kubadilisha ajira serikalini

    asante sana mkuu,kesho naelekea huko utumishi.tatoa mrejesho
  9. G

    Kuhamisha ajira Serikalini

    thanks indeed
  10. G

    Kuhamisha ajira Serikalini

    unajua haya n maisha na mm n kjana i need lyf, watu wa utumish nisaidien tafadhali katka hili
  11. G

    Msaada kubadilisha ajira serikalini

    mimi ni mwalimu wa sekondari ajira mpya mwaka huu 2015, lakini kabla ya ajira hii nilikua nmefanya maombi mbalilimbali ya kazi ya kufundisha vyuo vikuu (tutorial assistant) sasa imetokea mungu kanisaidia nimepata kazi chuoni mwezi huu,sasa nilikua nimeandika barua kwa katibu mkuu utumishi ili...
  12. G

    Kuhamisha ajira Serikalini

    Mimi ni mwalimu wa sekondari ajira mpya mwaka huu 2015, lakini kabla ya ajira hii nilikuwa nimefanya maombi mbalilimbali ya kazi ya kufundisha vyuo vikuu (tutorial assistant). Sasa imetokea mungu kanisaidia nimepata kazi chuoni mwezi huu, sasa nilikua nimeandika barua kwa Katibu mkuu utumishi...
  13. G

    Msaada wa kubadilisha kaz serikalini

    thanks indeed mkuu
Back
Top Bottom