Recent content by Gambus

  1. G

    JamiiForums Tanzania Adhabu ya kunyonga hadi kufa imepitwa na wakati?

    Adhabu hii ya kifo kwa aliye uwa ni bora iendelee!kwani ni hukumu iliyo ya haki kwa aliye uwa kwa dhulma.ila kwa alieua bila ya kukusudia au kosa jingine lolote lisilo husiana na mauji ya kusudiwa,hilo linaweza kuangaliwa kwa makini!ila aliyeua kwa makusudi nae pia auawe!japo hawezi kuwaondolea...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Natafuta gari mpya au used

    Ipo rav4 kama una hitaji!kwa maelezo piga 0713317330
  3. G

    JamiiForums Tanzania Natafuta gari mpya au used

    Ipo rav4 kama una hitaji!
  4. G

    JamiiForums Tanzania Babu Samunge adai kuhujumiwa, atabiri kufurika tena watu Samunge

    Mashaka yake yanaonyesha jinsi tiba yake ilivyo na utata!kama mungu yupo upande wake anatapatapa nini?hii inaonyesha jinsi alivyo muongo!
Back
Top Bottom