Recent content by Gamboshi-

  1. G

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    Kweli,Hawa marefa ilikuwa clear offside
  2. G

    Msaada wa tafsiri ya ndoto ya kurudi shule mara kwa mara

    Hii ndoto huwa si nzuri inatoa Ishara ya kuandamwa na Roho ya kurudishwa Nyuma kimaisha(Regression spirit).na mie ndoto za aina hiyo ziliwahi kunisumbua sana nikiota nipo darasani O.level (Wakati huo Shule ngazi hiyo nilikuwa nimeshamaliza kama miaka 20+ iliyopita) na wakati huo nilishamaliza...
  3. G

    Tume ya Madini, tuambieni CPA ni nini kwenye initial za majina ya watumishi wenu

    Acha kuruka ruka, leta hoja ambayo ni substantive kisheria Kwa Legislative Legal Drafters ,inayokidhi justification ya Amendment ya Sheria husika .Nimekueleza Ili ufanye ku-repeal au ku- Amend Sheria inatakiwa Uje na hoja ya kuonyesha athari mbaya za ku- maintain Status Quo au Justification ya...
  4. G

    Tume ya Madini, tuambieni CPA ni nini kwenye initial za majina ya watumishi wenu

    Jenga hoja yenye element za legislative legal Drafting kwanini Sheria ibadilishwe na siyo hisia tu Kwa sababu ya generalization na possible chuki zako binafsi Kwa Makala.Nini athari za ku- maintain status quo na nini faida ya Hilo badiliko unalopendekeza?
  5. G

    Tume ya Madini, tuambieni CPA ni nini kwenye initial za majina ya watumishi wenu

    Haina Shida hao ni Wahasibu ,kutanguliza 'CPA' mbele ya Jina ipo kisheria ndani ya Sheria na Kanuni za Bodi ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu(NBAA)na siyo fatal,labda kama una hoja nyingine kuhusu uwepo wao hapo..
  6. G

    Rais Samia ametengua uteuzi wa Kamishna wa Petroli na Gesi - Wizara ya Nishati (Michael Songora Mjinja)

    Hii nchi sijui nani kairoga? Huyu kijana Goodluck Antipas Shirima mteuliwa mpya Kamishna wa Petrol ni pandikizi la GSM n.k kuweza ku- influence issue za Petrol ndio maana bei hazishuki hapo Mtandao umemuweka kimkakati.kwa mbali naona enzi za Msoga zinarudi,Mungu tusaidie Bora hizi nafasi...
  7. G

    Yanga songeni mbele acheni ushamba

    Mechi ya Simba na Orlando Pirates refa alienda kuangalia VAR kwenye Faulo ya Mugalu,lkn mechi hiyo hiyo Simba alifunga clear goli refa akalikataa goli na akagoma kuangalia VAR,utopoloni a.k.a Mwakarobo Jnr a k.a MALALAMIJO FC acheni hizo nyie sie exceptional mnataka mpira wacheze wengine Kwa...
  8. G

    Yalikuwa yanajisifu ni ya kimataifa. Yamepigwa ndani nje sasa yamejificha kwenye dhuluma waliiofanyiwa Yanga

    Du kweli kufa kiume kunauma na imeisha hiyo!,yaani Mwakarobo Jnr bado mnalalama angalieni msije pata ukichaa,wenzenu wazoefu hatupigi kelele kama ni kufa Kwa hatua ya matuta kwetu siyo geni tulitolewa na Bingwa mtetezi Wydad tena Kwa kumfunga Nyumbani kwetu siye nyie Semi-Finalist Mamelodi...
  9. G

    Uchambuzi....VAR ilikuwa msaada sahihi kwa mwamuzi kuamua lile ni goli?

    Du kweli MANARA alikuwa sawa utopoloni wenye akili ni wawili tu,si Kwa uharo huo pamoja na mwiko Nyuma, Pathetic
  10. G

    Mnapojadili kuwa Yanga kaonewa mjadili pia ubovu wa Yanga kwenye upigaji wa penati

    Kunywa maji Mwakarobo Junior toa mwiko Nyuma akili zikurudie,bila takwimu kama hizo unapata wapi legitimacy ya kulalamila eti nyie mpo Bora mnalilia semi final ambayo haikuwa kwenye malengo yenu,na bado mnatafuta huruma isiyokuwepo eti mmeonewa ,Je mlitaka mshinde kimazabe kama kawaida yenu...
  11. G

    Young Africans yawasilisha Malalamiko yake CAF

    Malalamiko yamejikita zaidi katika HISIA na siyo Strong EVIDENCE ya upangaji Matokeo,naona MALALAMIKO FC A.K.A MWAKAROBO JNR mnaweweseka sana kajipangeni upya hiyo rufaa mnapoteza muda tu hamna kitu
  12. G

    Young Africans yawasilisha Malalamiko yake CAF

    Malalamiko yamejikita zaidi katika HISIA na siyo Strong EVIDENCE ya upangaji Matokeo,naona MALALAMIKO FC A.K.A MWAKAROBO JNR mnaweweseka sana kajipangeni upya hiyo rufaa mnapoteza muda tu hamna kitu
  13. G

    Uchambuzi....VAR ilikuwa msaada sahihi kwa mwamuzi kuamua lile ni goli?

    Kunywa maji Mwakarobo Jnr badala ya Kuja na facts unaleta uharo,toa huo mwiko Nyuma upate akili
  14. G

    Uchambuzi....VAR ilikuwa msaada sahihi kwa mwamuzi kuamua lile ni goli?

    Acheni kelele hizo Mwakarobo Jr,Si mngefunga hizo penati mkathibitusha ubora wenu mnapiga utafikiri mmekunywa pombe aina ya pingu watu wenyewe hata Accurate pass 100 zimewashinda katika mchezo mzima na wastani wa kugusa mpira mara Moja katika Kila dakika halafu seriously eti mnataka muende Semi...
  15. G

    Kwa uonevu wa wazi dhidi ya goli la Yanga leo, suluhisho ni timu za Tanzania kujitoa mashindano ya Afrika. Na tujitoe kwa staili hii

    Yaani kushika Bomba ndo kuhangaika? Mwakarobo Junior mmeshindwa hata kupiga pass 100 katika mchezo na possession yenu ya below 30%,eti bado mnalilia goli Feki ambalo linegusa nyasi badala ya Nyavu na mnaitaka nusu Fainali seriously kweli?Mbona penati ziliwashinda ama nazo mmeonewa? Sasa...
Back
Top Bottom