Recent content by Gambamala

  1. Gambamala

    Dalili kuu 7 zinazoonyesha mtu ambaye atachelewa sana kufanikiwa.

    Hivi kabla ya Watsap, Instagram na mitandao mingine ya kijamii tulikuwa tunapata maendeleo haraka?
  2. Gambamala

    Wakali wa kuongoza darasani sasa hivi wana hali gani kimaisha??

    Mkuu sijui unaongelea waliokuwa wanaongoza shule za maporini? Ukweli ni kwamba 95% ya waliokuwa wanaongoza wana maisha ya kawaida na mzuri, yaani hawana shida ndogondogo. Wako wachache ambao wana hali mbaya ambapo utakuta katika safari yake ya masomo alipata matatizo ya kifamilia ikiwepo...
  3. Gambamala

    Afrika inawahitaji Marais kama Museveni na Kagame ili bara zima liheshimike na lipigie hatua za Kimaendeleo

    Wewe unaandika pumba. Uganda ndio nchi masikini kabisa Africa Mashariki. Angalia GDP yao, pia sasa wana noti ya elfu 20.
  4. Gambamala

    Tetesi: Serikali yadaiwa kumvua uraia Padri wa Kanisa Katoliki

    Mguse sawaswa ndio utajua Padre ni nani
  5. Gambamala

    Tetesi: Serikali yadaiwa kumvua uraia Padri wa Kanisa Katoliki

    Kuna tetesi kuwa Serikali inapanga au imemvua Padre fulani uraia kisa walaka wa TEC. Nataka niseme kuwa kanisa huwa halichezewi na walevi wa madaraka, ulimweni kote kanisa linaheshimika. Nataka niwaombe viongozi kanisa Katoliki, huyo Padre wanaemuandama msiruhusu aende popote, baada ya hapo tupe...
  6. Gambamala

    Dk. Bashiru: Hatufuati Katiba ya CCM ila tunatumia busara kuwapitisha wapinzani wanaojiunga kugombea bila kura za maoni

    Lissu alisema: Wakimalizana na sisi watahamia kwa wengine. Udiktata unahamia ccm taratiibu
  7. Gambamala

    Katibu mkuu CCM: Chama kimesikitishwa idadi ya wapiga kura kupungua

    Unaamka saa 12 kupiga kura, ccm na escort ya polisi wanakuja kubandika matokeo. Kupiga kura ni upuuzi
  8. Gambamala

    Magufuli anaandaa mazingira mazuri ya serikali ijayo kufanya ufisadi bila bugdha.

    Baada ya wapinzani kusurubiwa vya kutosha na kuonekana kama waahini ndani ya nchi yao, sasa hawaoni kesho yao hivyo wanaona wajiunge na anaemiliki jeshi ili waone kama 2020 watabahatika japo kupata ubunge au ukuu wa wilaya. Ukweli ni kwamba uchaguzi wa 2020 utakuwa wa geresha, washindi...
  9. Gambamala

    Wabunge pelekeni muswada bungeni ili hii sintofahamu ya uzimwaji wa local channels itatuliwe

    Wabunge wap? Wapinzani ndio walikuwa wasemaji wa wananchi, sasa ndio hao wananunuliwa
  10. Gambamala

    Rais Magufuli sasa imetosha, waambie trafiki wako barabarani watuache tupumue

    Si kweli mkuu, mfano mimi nilikuwa eneo ambalo ni double road, kama vile kutoka kimara hadi Ubungo, ni vigumu kila wakati jicho kuwa kwenye speed meter
  11. Gambamala

    Rais Magufuli sasa imetosha, waambie trafiki wako barabarani watuache tupumue

    Ndugu zangu kama kuna kipindi ambacho wananchi tunapata tabu kutembea na magari ni kipindi hiki. Trafic wamekuwa wengi kama utitiri barabarani, mfano Arusha kila baada ya dakika 4 mbele wapo, wanakusimamisha, wanakagua na kuhakikisha wakukute na kosa ili wakulipishe.Na kuna wengine unakuta...
  12. Gambamala

    Marufuku ya uingizwaji wa vifaranga:wazalishaji wameshindwa kukidhi soko, vimekuwa adimu

    Wadau serikali ilipiga marufuku uingizaji wa vifaranga, nia ni njema sana ya kulinda wajasiriamali wa ndani. Lakini tangu marufuku hiyo kumekuwa na upungufu mkubwa wa vifaranga. Mfano hivi sasa vifaranga wa mayai hakuna, ukihitaji vifaranga sasa inabidi ukae hadi mwezi mmoja au miwili ndipo upate.
  13. Gambamala

    Ushauri: Abdul Nondo tekeleza hili jambo haraka sana

    Bahati mbaya sina namba ya Abdul Nondo ningempigia na kumpa huu ujumbe. Wenye mawasiliano nae tafadhali mfikishie ujumbe huu. Mwenye mawasiliano nae tafadhali mfikishie wazo hili. Ukweli ni kwamba sioni usalama wako pia na uendelevu mzuri katika masomo yako, wewe kama kiongozi wa mtandao wa...
Back
Top Bottom