Recent content by galusmark

  1. G

    PreGE2025 Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Wote waliokamatwa kwa kudai haki, wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa, waachiwe haraka na bila masharti

    Hivi soko la watumwa Bado lipo? Ili watu kama wewe Mshamba tukawauze huko tuwafutilie mbali na jamii ya watu waliostaarabika?
  2. G

    Ni zaidi ya nusu saa tunasubiri mwendokasi hapa faya ya kwenda feri sasa sijui wamegoma au utaratibu wao

    Ndio matokeo chanya hayo ndugu, lazima usubirie hata masaa mawili ili gari lije. Ni jambo la kawaida sana
  3. G

    Badala ya kubinafsisha mashirika yanayotushinda kwa kampuni za nje kwanini tusitafute ma CEO kutoka nje, wenye uzoefu na kazi hizo?

    Hata Marais inabidi tukodishe nje tu kama ambayo tunafanya kwa makocha wa timu za Mpira. Imagine mnamkodi Obama ama Putin kwa mkataba! Itakua poa sana
  4. G

    Picha hizi ni funzo kwetu

    Hahahaaaa
Back
Top Bottom