Rais ndiye alifunga internet, katika Hali kama Ile kiusalama unatakiwa uache njia za mawasiliano ya haraka wazi?
Maandamano ya amani mbona mliachiwa na ulinzi mkapewa!?..nchi lazima iwe na utaratibu, hakuna uhuru kwa manyani
Kuna uchaguzi kila baada ya miaka mitano,ni nafasi ya kumtoa,waune zenu marekani trump kaanzisha vita Haram,hawamtoi,wanasubiri muda wake uishe,nguvu ya wananchi ni kura
Tume huru ya uchaguzi ni kwa ajili ya wanasiasa,mimi hainihusu
Maandamano mbona mnafanya na kusindikizwa juu,kuongea Heche anaongea togwa zake kila siku
Nguvu ya maamuzi irudi kwa wananchi kivipi,ukizingatia kwa sasa tupo 70+m?
Unahitaji katiba mpya Ili tu kumuwajibisha kiongozi?..kwani katiba ya sasa haimuwajibishi kiongozi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.