Inaelekea hufuatilii vizuri Hilo sakata, Iran hatoboi mtumbwi tufe wote, Iran anabomoa kambi za marekani GCC Ili aondoke,GCC iwe na security posture nyingine bila west kwenye equation,na kambi za marekani GCC zimebondwa haswa,Ile ya Iraq ni imekufa kabisa,sasa hivi USA kahamishia refuelers...