Recent content by gallow bird

  1. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Orodha kamili ya Majina na Picha za Maelfu waliouawa Oktoba 29 kuwekwa hadharani

    Yule askari wa kike aliyeuawa na kuanza kuupiga mwili wake kwa fimbo na mawe mkijipiga picha,naye yumo kwenye orodha?
  2. gallow bird

    JamiiForums Tanzania IGP Mstaafu Mahita: Jeshi la Polisi la Sasa linaingiliwa na Wanasiasa

    Ana hospital yake pugu road,ikilindwa na ffu,muuza weed huko Mauritius,jakaya alienda kumpora magari kwake, alikua nayo mengi, jakaya 'serikali haina magari we una magari yote haya'!?..akamwachia mawili Akiwa IGP ujambazi ulitamalaki kwenye mabenki,pakiwa na harufu ya Wana usalama kuhusika...
  3. gallow bird

    JamiiForums Tanzania IGP Mstaafu Mahita: Jeshi la Polisi la Sasa linaingiliwa na Wanasiasa

    Wakiacha sheria mbunge ajue tu kusoma na kuandika napo unapinga,unataka mbunge awe msomi,nyi maccchokkko mna tabu
  4. gallow bird

    JamiiForums Tanzania IGP Mstaafu Mahita: Jeshi la Polisi la Sasa linaingiliwa na Wanasiasa

    Anafikiri tumesahau walivyombonda lipumba,wakamvunja mkono na kumsweka ndani
  5. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Deni la Tanzania sasa lapita la Kenya, ni la tatu Afrika

    Tafuta hela *** wewe,Babu zake rostam walitafuta hela kwa miaka 150+,1997 nimefanya kazi kampuni ya rostam CASPIAN mgodini Babu zako walipovuna sana waliongeza wake na ulevi Lini rostam alipewa hela akawekeze Kenya!?..tibu bawasiri Hilo linalokuwasha
  6. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Rais Nyerere na Magufuli Walikataa, Rais Samia Usikubali Nchi Yoyote Kuingilia Sovereignty Yetu, Iwe ni US, UK or EU!, Kwani Marekani Ndio Nani, Nini?

    'uteuzi' kwa sababu yeye ni mmoja hawezi teuliwa teuzi tofauti tofauti
  7. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Deni la Tanzania sasa lapita la Kenya, ni la tatu Afrika

    Tafuta hela ,Babu zake rostam walitafuta hela kwa miaka 150+,1997 nimefanya kazi kampuni ya rostam CASPIAN mgodini
  8. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Uwekwe utaratibu wa kuweka Tozo kwa magari yanayoingia Katikati ya Jiji

    Bajaji na bodaboda hazitopungua mjini bali kuongezeka,piga marufuku
  9. gallow bird

    JamiiForums Tanzania The US bill mandates an assessment of Tanzania's military, economic and political cooperation with China

    Nyinyi mnapaswa kuuawa,mbegu ya hovyo kabisa
  10. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Uwekwe utaratibu wa kuweka Tozo kwa magari yanayoingia Katikati ya Jiji

    Piga marufuku bajaji na bodaboda mjini,siyo kila kitu uchaguzi
  11. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Esmaeil Baghaei akili kuwa kuna mambo wamekubaliana na Marekani!!!

    *kiri,akiri Akili ni kitu kingine,ambacho kimsingi huna Hivi elimu yako ni ya kiwango gani?
  12. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Uwekwe utaratibu wa kuweka Tozo kwa magari yanayoingia Katikati ya Jiji

    Piga marufuku bajaji na bodaboda mjini,ziishie mapipa,amana,Banda la ngozi,veta,mivinjeni,salenda
  13. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Mahmoud Ahmadinejad Rais wa zamani wa Iran naye auawa

    Usimeze kila unachokiona kwenye internet
Back
Top Bottom