Recent content by gallow bird

  1. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche kukosoa Congo kuwekeza Tanzania ina ufinyu wa uelewa

    Anaongelea mambo ya nchi akitumia kiriri cha chadema,sharti asikike na kuzua mjadala hata kama majnuni
  2. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche kukosoa Congo kuwekeza Tanzania ina ufinyu wa uelewa

    Katumbi wa mazembe hawezi kuja wekeza,kuna akina katumbi wangapi drc?.. DRC kama nchi haiwezi wekeza tz?
  3. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche kukosoa Congo kuwekeza Tanzania ina ufinyu wa uelewa

    Heche ana upeo mdogo sana
  4. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Wakili Wasonga: Mhadhiri wa UDOM anatuhumiwa kuchoma majengo ya umma pamoja na makazi ya askari Polisi yote nchini

    Hukusikia rais akiutaja ugaidi na vurugu za oktoba?..ule ni muongozo,sasa hivi ukihamasisha mambo kama ya oktoba unapewa ugaidi
  5. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Wakili Wasonga: Mhadhiri wa UDOM anatuhumiwa kuchoma majengo ya umma pamoja na makazi ya askari Polisi yote nchini

    Wahadhiri huhadhiri upinzani dhidi ya serikali madarasani,wanataka kutoa mfano
  6. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Waitara: Watanzania wanataka Katiba Mpya, na nguvu ya dola kupunguzwa

    Rais ndiye alifunga internet, katika Hali kama Ile kiusalama unatakiwa uache njia za mawasiliano ya haraka wazi? Maandamano ya amani mbona mliachiwa na ulinzi mkapewa!?..nchi lazima iwe na utaratibu, hakuna uhuru kwa manyani
  7. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Waitara: Watanzania wanataka Katiba Mpya, na nguvu ya dola kupunguzwa

    Kuna uchaguzi kila baada ya miaka mitano,ni nafasi ya kumtoa,waune zenu marekani trump kaanzisha vita Haram,hawamtoi,wanasubiri muda wake uishe,nguvu ya wananchi ni kura
  8. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Kumfunga pingu Mwekezaji wa Mabasi ya Tilisho ni udhalilishaji, Vitisho na Ulevi wa madaraka

    Kupiga mtu pingu ni kujichukulia Sheria mkononi?
  9. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Kumfunga pingu Mwekezaji wa Mabasi ya Tilisho ni udhalilishaji, Vitisho na Ulevi wa madaraka

    Yeye alikua amelewa nini alipokata minyororo iliyofungwa kwenye matairi? Alupokaidi kupeleka mabasi mbezi alikua amelewa nini?
  10. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Waitara: Watanzania wanataka Katiba Mpya, na nguvu ya dola kupunguzwa

    Hapo mtakua na nchi au zizi la mbuzi!?
  11. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Waitara: Watanzania wanataka Katiba Mpya, na nguvu ya dola kupunguzwa

    Bunge linaweza mng'oa rais kwa kura ya kutokua na imani Hii si kweli,jielimishe
  12. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Waitara: Watanzania wanataka Katiba Mpya, na nguvu ya dola kupunguzwa

    Sishangai,mkishindwa hoja hukimbilia kuwatoa wenzenu,umeshindwa kueleza umuhimu wa katiba mpya,unafuata mkumbo tu
  13. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Ni mda serikali itoke na kutueleza Polepole yuko wapi?

    Alirudi lini toka Cuba alipitia bandari mpaka au uwanja gani wa ndege?
  14. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Waitara: Watanzania wanataka Katiba Mpya, na nguvu ya dola kupunguzwa

    Tume huru ya uchaguzi ni kwa ajili ya wanasiasa,mimi hainihusu Maandamano mbona mnafanya na kusindikizwa juu,kuongea Heche anaongea togwa zake kila siku
  15. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Waitara: Watanzania wanataka Katiba Mpya, na nguvu ya dola kupunguzwa

    Nguvu ya maamuzi irudi kwa wananchi kivipi,ukizingatia kwa sasa tupo 70+m? Unahitaji katiba mpya Ili tu kumuwajibisha kiongozi?..kwani katiba ya sasa haimuwajibishi kiongozi?
Back
Top Bottom