Recent content by gallow bird

  1. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Houthis kuanza kutoza ada kwa kila meli ipitayo bahari nyekundu

    Mafuta ya tz hayapiti huko bali Hormuz
  2. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Nyerere alikuwa Dikteta makini sana, waliofuata ni washamba labda kwa mbaaali Mkapa

    Alikua dikteta
  3. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Nyerere alikuwa Dikteta makini sana, waliofuata ni washamba labda kwa mbaaali Mkapa

    Wajinga mnapojifanya werevu
  4. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Boda boda za mkataba na hesabu huwa zinawalipaje wamiliki

    Hiyo biashara hufanywa na watu ambao pesa zao hazina kazi
  5. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Weledi wa Jeshi la Wananchi JWTZ unapimwaje?

    Kwa sababu akili huna
  6. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Weledi wa Jeshi la Wananchi JWTZ unapimwaje?

    Peleka jeshi lako upambane nao uone vitendo vyao kama sifuri au laa
  7. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Weledi wa Jeshi la Wananchi JWTZ unapimwaje?

    Nenda ngome kaulize
  8. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Wote mliofurahia kifo cha hayati JPM leo hii mnaona aibu namna taifa letu linavyopelekwa. Mpo humu jukwaani na mnaona aibu

    JPM hiyo sgr aliifikisha wapi?..rufiji dam alilifikisha wapi?..uchumi aliifikisha wapi?
  9. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Sijui Mwalimu Nyerere alikuwa akilenga nini kuruhusu watu kutoka Zanzibar kuwa na nafasi ya kuongoza Tanganyika

    Kwa mipango yake alijua ataimeza Zanzibar, ndiyo maana unamsikia yeye na makerubi wake 'serikali mbili kuelekea moja'.. Zanzibar haitomezwa katu Mipango yake dhidi ya Zanzibar imefeli kama ilivyofeli mipango yake dhidi ya kobazi
  10. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Ukraine 🇺🇦 yapiga meli yenye zana za vita vya Iran 🇮🇷

    Inaelekea hufuatilii vizuri Hilo sakata, Iran hatoboi mtumbwi tufe wote, Iran anabomoa kambi za marekani GCC Ili aondoke,GCC iwe na security posture nyingine bila west kwenye equation,na kambi za marekani GCC zimebondwa haswa,Ile ya Iraq ni imekufa kabisa,sasa hivi USA kahamishia refuelers...
  11. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Hakimu unaanzaje Kumfunga Mtu Jela Miaka 30 au Maisha kisa Bangi kilo Moja?

    Mkidakwa mkaenda kuphilrwa gereji mnalia Kuwa na adabu na heshima,kama umeshindwa kumuheshimu kama rais basi mheshimu kama mama wa wengine Mama yako huvaa shanga!?..huzizungushia wapi?
  12. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Ukraine 🇺🇦 yapiga meli yenye zana za vita vya Iran 🇮🇷

    Watoto watoto muwe mnaenda FB au mmu
  13. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Wamarekani wataweza kuifanya hii operesheni??

    Mazungumzo huku marekani akijaza vifaa vya kivita mashariki ya kati,refuelers zimefika mia,rada rada zile Iran kazitimua,makombora ya kujilinda USA kaishiwa,ana-restock akivunga kupitia mazungumzo
Back
Top Bottom