Habari za muda wakuu, naomba kuuliza tena. Kuna jamaa yangu gari yake mark 2 grande, ina tatizo la kutetemeka sterling japo sio kila wakati. He yaweza kuwa ni nini?
Habari wakuu. Naomba kuuliza. Gari yangu haijawahi kunisumbua kwa namna yoyote. Lakini sasa kwa Mara ya kwanza imekuwa haiwaki kutokana na betri kuwa low. Naona kama ni jambo la ghafla sana kwa betri iliyokuwa nzima sana. Na hata nikibustiwa ikiwaka na kutembea umbali mrefu bado ukiizima haiwaki...
Hazina lakini kwenye screen inabadili mafuta yaliyopo kuwa kms, na geji yako pia itaendelea kusoma kama gari zingine. Uzuri wa brevis ukijua safari yako ni km ngapi huna hofu ya mafuta sababu kila kitu kinaonesha, mpaka namna unavyokanyaga mafuta inakueleza utatembea km ngapi kwa uendeshaji huo
Nilianzia shule pale Makanyagio, nikahia nyumbatatu, then sabasaba tangu la pili mpaka namaliza. Wale waliomaliza 1995 sabasaba tutakuwa tunafahamiana vizuri tu.
Msaada tafadhali. Nimekuwa nikipata maumivu ya miguu hasa nikisimama bila movement, ila nikikaa au kulala sisikii maumivu yoyote. Tatizo linaweza kusababishwa na nini na matibabu yake yapoje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.