To be honest anatakiwa apumzike kabisa, amuache mwenzake afanyekazi. Hii haileti picha nzuri, na kama wapo wazee wenye hekima, ambao naamini wapo, wamshauri aache kumbuguzi mwenzake
Mimi kama auditor nalifahamu shirika moja(siruhusiwi kutoa siri za mteja) linatumia kati ya shilling bilioni mbili hadi tatu kila mwaka kwaajili ya safari za nje zisizokuwa na tija
Nami namunga mkono mheshimiwa Rais kwa dhati. "No research no right to speak". Mheshimiwa amekuwa serikalini yapata miaka 20 sasa, anajuwa namna ambavyo hizi safari za nje zinavyotumika kihalifu (there is serious abuse and misuse of this opportunity). Kuna taasisi za umma ambazo, leo sitazitaja...
ya 9 duniani kwa uwezo mdogo wa kufikiri?
Johnson Mbwambo
Toleo la 350
30 Apr 2014
Kama ni kweli, haishangazi nchi kukosa mwelekeo
WIKI iliyopita niliandika kuhoji iwapo mambo kwenda shagalabagala hapa Tanzania, ni kwa sababu ya werevu wa chama tawala CCM...
HAWA NI WATU WAAJABU SANA BADALA YA KUVALIA NUJGA MAMBO YANAYO HUJUM TAIFA WAO WAKO BUSSY NA MAMBO YA KANGA. SIJUI NDO KUWA NA 250MB KICHWANI!!! Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL
Na Restuta James
22nd April 2015
B-pepe
Chapa
Sasa yagundulika aliyeleta mabehewa...
Hivi donors wanaweza kusimamisha misaada tu bila kufanya uchunguzi wa kina na kujiridhisha? huu ni utetezi mwepesi sana. subiri nondo zitakazo shuka mda si mrefu
Hizi ni hoja nyepesi sana anazotoa prof Muhongo na anapoteza mda tu wa wachangiaji. Hebu tumia tu akili ndogo, wewe ulishaona wapi pesa ya uuwekezaji inagawiwa namna hiyo?
Yuko wapi Mobutu Sseseko Kuku wazabanga?Yuko wapi Gadafi?
Yoko wapi Hosin Mbarak? Yuko wapi Alhasani Mwinyi?
Yuko wapi Ben Mkapa? Kalenda ilipofika wote walikoma kuwepo kwenye viti vya enzi. Mwaka mmoja uliyobaki sio milele , huyu naye atakoma tu! na hii longo longo yak e itatupwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.