wakati fulani niliwahi kusema ccm imechokwa ila chadema haijajipanga... ni kweli kila mwenye akili timamu atakua amechoshwa na yanoyofanywa na ccm ispokuwa tu kwa wale wote wenye kufaidika na yote wanayofanya ccm,,,, CHADEMA you have to wake up wananchi tunawaamini ni kaz kwenu sasa...