Recent content by gabu

  1. G

    Msaada

    Kwa wale wa moshi wanaweza kwenda bonite kiwanda cha soda wakamtafuta huyo mama kwa namba hizo na wakamwona huyo mlemavu
  2. G

    Msaada

    Samahani ni typing error. Nimerekebisha waweza jaribu kumdodosa mmiliki wa hiyo namba kama hutojari
  3. G

    Msaada

    Jamani sio DECI
  4. G

    Msaada

    Jamani hiyo namba ni ya mama yake kwa anataka kuona picha yake huyo mlemavu tafadhari anipm ili kueleweshana zaidi.
  5. G

    Msaada

    Kunamtoto ni mlemavu wa miguu,mikono,shingo na hana masikio wala haongei, anamiaka 13.Anaomba msaada simu 0719894720
  6. G

    Ushauri tafadhari

    Huko kwenye NGO hajaenda.Hicho kiasi chenye utofauti na dola 150 ni mshahara wake wa ualimu.Natumai umenielewa
  7. G

    Ushauri tafadhari

    Naomba mchangn wa mawazo ili nimshauri ndugu yangu. Yeye ni mwalimu ameajiriwa na serikali, alifanya mpango akaenda kusomea shahada ya (CED) maendeleo ya jamii na uchumi amemaliza 2011. ametafuta kazi inayoendana na fani mpya hajapata. mwishoni aliamua kuomba kwenye NGO inayoitwa AFRICA...
  8. G

    Msaada tafadhari

    Mwenzenu ngozi yangu ya uso imepata madhara ya mionzi ya jua. Nimetumia sun block za albino tatizo bado.Anaejua tiba.
  9. G

    Hodi

    Mgeni huyu
Back
Top Bottom