Wazee wa kuweka mikeka nataka nijaribu kutafuta pesa kupitia betting rasmi mwez ujao AfCON/COPA AMERICA/UEFA NATIONS league zikiinza ila natak niwe na stake kuanzia elfu kum na kuendelea kwa wazoefu nipeni ushauri au maoni njia gan nitumie zaid ili nimkamue vya kutosha mhindi natak nipige pesa...
Ni moja ya msanii mzuri wa hip hop bongo pia mziki wake unaheshimika lakini toka ameacha kuimba na kuingia kwenye siasa huyu kinachomfelisha ni kutokuwa na msimamo. Mara CHADEMA,ACT na sasa hivi yupo CCM.
Kama unataka upate ubunge tulia ndani ya CHAMA kimoja kama walivofanya wakongwe wenzako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.