Recent content by gabriel sanya

  1. G

    Majina ya Wabunge wa BMK Waliopiga Kura ya Wazi ya HAPANA, haya hapa

    Kaka yangu Sita yanamkondesha mengi, Katiba mpya, ambayo ingemwezesha kuchaguliwa na CCM kugombea urais kwa kigezo amewezesha kupatikana katiba yao. Ana msongo wa mawazo mengi hivyo ni lazima akonde
  2. G

    Majina ya Wabunge wa BMK Waliopiga Kura ya Wazi ya HAPANA, haya hapa

    Bara hakuna atakaye sema hapana kwa sababu wengi ni Mazuzu km, Kessy kapiga ndio huo sio uzuzu? Wakati yeye aliwaita Wazanzibari ni mizigo.
  3. G

    Tibaijuka: Nimepokea Bilioni ya Mbia wa IPTL! Malipo yalisimamiwa na BoT

    Mama Tina! ! Hata wewe ni mmoja wa mafisadi inji hii? Duh uza na ikulu maana ardhi imebakia migogoro. Mungu akubariki
  4. G

    Hapa ndipo moyes katufikisha!!!!!!!

    Duuh wee mkali nilikuwa na hasira za kufungwa 3-1, na mshikaji kachukua sm yangu kaandika mambo ya vyeo vya jeshi na jamaa wamefunguka ovyo hovyo bila mipango, lakini baada ya kuisoma joke hii nimepata lite mmoja baridi na mambo ni cool.
  5. G

    Kupandishwa vyeo JWTZ

    East Africa, soma na uelewe kilicho andikwa hapa sio swala la wivu wala kukosa cheo. Ninaamini ulicho andika hakuna facts wala data hivyo maoni yako yana mkusanyiko wa mawazo yasiyo kidhi mjadala huu. Kama hujui dadisi ujue zaidi. Hata hivyo nakushukuru sana kwa kauli zako.
  6. G

    Kupandishwa vyeo JWTZ

    Takribani miaka minne iliyo pita upandishwaji vyeo vya maafisa wakuu ( Brig Gen )umekuwa ukifanyika bila kufuata !!MUUNDO WA JWTZ'' Muundo kwa maana ya ukubwa wa jeshi idadi ya nguvu kazi iliyopo, ikijumuisha askari na silaha. Tafsiri iliyopo inaonekana vyeo vinatolewa kama zawadi na sio kwa...
Back
Top Bottom