Recent content by GABLLE

  1. GABLLE

    Dawa za kurefusha na kunenepesha uume na njia mbadala

    Mimi nimeeleza ukweli wangu wa moyoni ndiyo maana ninahaha kurekebisha mambo. Kama unaweza kunisaidia nisaidieni tafadhali.
  2. GABLLE

    Dawa za kurefusha na kunenepesha uume na njia mbadala

    Waungwana humu tumesaidiana kwa mengi. Naomba kwa yeyeto anayejua upatikanaji wa dawa za kurefusha na kunenepesha uume anijuze tafadhali ninashida kubwa sana juu ya tatizo hili.
  3. GABLLE

    new HIV

    Ukienda kupima na kukuta umeathirika watakupa ushauri wa nini cha kufanya. Kama umepima mwenyewe na hivi test tube wanazouza mitaani nenda kajisalimishe kwa wataalamu watakupa ushauri nasaha!!:hat::hat:
  4. GABLLE

    Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

    Kwenye msafara wa MAMBA, KENGE hawakosekani!!!
  5. GABLLE

    Tatizo la macho kuvimba na kuwa mekundu ukiamka kutoka usingizi

    Kwanza ndugu yangu nakushauri uwaone madaktari wa macho haraka iwezekanavyo na huko huko utapata jibu la hilo swali lako la kutaka kujua maana ya RED-EYES!!!!!!!!
  6. GABLLE

    Nahitaji kufahamu juu ya hili..

    Kula koni na kudomu ya mdomoni!!!
  7. GABLLE

    Dawa za kuongeza ukubwa wa mashine kwa wanaume, ni kweli au propaganda??

    Haya wewe uliyetumie au unayejua hizo dawa naomba unipe contact za wahusika ili na mimi niweze kuzipata!!
  8. GABLLE

    Prof. Mark Mwandosya alivyochambua siasa za CCM mkoani Mbeya - VIDEO

    Kuongea ni haki ya kila mtu. Wewe mpokeaji ndiye wa kuchagua upokee lipi ambalo linaweza kukusaidia katika maisha yako. Kulaumiana hakujengi au hakuleti maendeleo!!
  9. GABLLE

    Dawa za kurefusha na kunenepesha uume na njia mbadala

    Lakini ukweli utabaki kuwa pale pale. Mwenye kubwa na mwenye ndogo wote wana-do.
  10. GABLLE

    Dawa za kuongeza ukubwa wa mashine kwa wanaume, ni kweli au propaganda??

    Bunju sehemu gani? Tuelekeza na contact zake tupe, tuokoe ndoa zetu Mnyakyusa!!
  11. GABLLE

    Dawa za kuongeza ukubwa wa mashine kwa wanaume, ni kweli au propaganda??

    Sasa kama zina madhara kwanini ziruhusiwe kupewa binadamu?
  12. GABLLE

    Chanjo ya ukimwi kuanza kutolewa sasa

    Tuwe wakweli nduguzani. Suala la Ukimwi siyo la kufanyia mzaha!!
  13. GABLLE

    Mambo Ndio Haya, hapa hakieleweki

    Maisha kama haya hayaifai kabisa.
  14. GABLLE

    Tiba:Nguvu za kiume/ Maumbile Special Thread!

    Wadau hakika alivyoeleza GAZETI ni sahihi kabisa. Tatizo la wanaume wengi kuishiwa nguvu za kiume limekuwa kubwa kuliko hata maelezo. Tushirikiane kwa pamoja tunaweza kupunguza suhuhisho. MEWATA si mnawaona wamekuja juu na SHINGO YA KIZAZI na SARATANI ya MATITI kwa wanawake??
  15. GABLLE

    Dawa za kurefusha na kunenepesha uume na njia mbadala

    Mwacheni atumie ili akidhi haja ya moyo wake. Kwani hizo dawa zimetengenezwa za nini?? Mbona dawa nyingine mnatumia yeye kwanini mumkataze?? Tumia ndugu yangu mambo yatakuwa sawa!!
Back
Top Bottom