Recent content by gabkings

  1. G

    hivi wanaume ndivyo walivyo??

    Pole sana dada! Kweli mambo kama hayo yapo sana katika jamii, ila nimeona mara nyingi Yesu pekee akifanyika msaada kwa wale wanaomkimbilia na kutaka msaada kwake! Kweli mimi mwenyewe nimekuwa mhubiri wa Injili ya Yesu na nimekutana na wanawake wengi waliotelekezwa na wanaume zao na wanaume...
  2. G

    "Ujinai" wa Lulu katika "mauaji" ya Kanumba (R.I.P)

    Nafikiri swala la msingi hapa kama sio sekondari ni kupata kwanza maelezo walio yatoa kule police hawa 2suspect then ndio tunaweza kupata angalau ka picha ilikuwa nini......
  3. G

    Mkakati wa kuwavua ubunge wabunge wa CHADEMA wafichuliwa

    tusisahau kuomba Mungu.....wakati mwingine akili zetu huchoka sana tunapoacha kumtegemea Mungu na tunaweza fanya vibaya bila Mungu.....TUMEANZA NA MUNGU NA TUTAMALIZA NA MUNGU
  4. G

    Christina Shusho na MAFUVU

    Jamani lazima sana tuwe makini juu ya mavazi..DRESS CAN SOUND...sijui sana ila kila vazi lina ligha,sasa sijui kama itakuwa ni busara...kama tutaingia kanisani na mavazi ya kuhamasisha kuvuta bagi au yenye maneno ya matusi kama vile leo t-shirt huchapishwa eti ****,utajiju nk.
Back
Top Bottom