Hata mimi imenisumbua kweli nilisafiri kwa mda mrefu nimekuja kuiwasha sisikii tena huo mkwaruzo nilikuwa nahisi labda ni starter ina shida lakini wapi.
Hawa jamaa wako vizuri Ferre et Fally ipupa
Nakuwaga masafa marefu na mix nyimbo zao kama ifuatavyo:-
FERRÉ GOLA
-100kilos
-vita imana
-vinaigre
-insectiside
-Mea culpa
-Réalite
-pakadjuma
-martyrisé
-mokili makambo
-double Taux
-Elimine
Hizo kwa uchache
FALLY IPUPA
-Associe
-Cadenas...
Binafsi yangu gari nataka ikiwa kubwa basi iwe na nguvu na nguvu lazima ihusishe wese la kiwango flani hiyo kwangu syo shida.
Matunzo yapi yanatakiwa juu ya hiyo gari?
Kufanya service kwa wakati(engine &gearbox )?
Au ni gari ambayo haihitaji mikimiki au nini?
Au ni gari zina faults flani toka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.