Kwanza tunatoa wito kwa hawa TAKUKURU na VYOMBO vya USALAMA, isiwe mnawaonea haya na kuwaogopa kuwakamata waliokuchaguweni badala yake mnawakamata eti TRAFFIC kapokea rushwa 2,000. Afisa wa uhamiaji kapokea rushwa 20,000. Mfanyakazi wa shirika la umeme kala rushwa 50,000. SO WHAT?
Kiukweli...
Kwanza tunatoa wito kwa hawa TAKUKURU na VYOMBO vya USALAMA, isiwe mnawaonea haya na kuwaogopa kuwakamata waliokuchaguweni badala yake mnawakamata eti TRAFFIC kapokea rushwa 2,000. Afisa wa uhamiaji kapokea rushwa 20,000. Mfanyakazi wa shirika la umeme kala rushwa 50,000. SO WHAT?
Kiukweli...
UNAONESHA HUU MTANDAO WA JAMII FORUM NI WA WAPINZANI. TUNAOMBA SERIKALI IFUNGIENI HII JAMII FORUM, KAZI MATUSI, KASHFA ZA WATU, JE NYINYI HAMUNA KASHFA? KAMA HUKUMU ANATOA ALLAH, MWIZI ANAMJUWA, MUONGO ANAMJUWA, KILA KITU ALLAH ANAKIJUWA NA KILA MTU ATAENDA KULIPWA KUTOKANA NA MAKOSA YAKE. SASA...
Naongea hivi kwa sababu nikifungua mtandao huu wa JAMII FORUM, utakuta viongozi wa CCM ndio, wizi, wazinzi, waogo, kasha zote wanazo wao tu.? Je hao viongozi wa CUF wao ni malaika? hawana matatizo aina yoyote?
Kama hamjuwi leo nitakujulisheni, kwanza tumamuwanza Hamad Masoud aliekuwa waziri wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.