Hapana kaka sio tume. Uyu rafiki yangu yeye tume alifanya mala ya kwanza kabisa zaidi ya miezi 8 imepita alifanya oral lkn akupangiwa, lkn juzi kati pale akapiga stamico. Sio tume
Uyo mshikaji wangu aliepata tume alifanya mala ya kwanza akaingia oral lkn akuitwa mwajiri alikuwa uyo uyo tume, baadae tena akaingia oral kupitia stamico now kapangiwa tume Sasa sijui ni database au usaili wa stamico
Kuna mwanangu kalamba asali, injinia wa madini alikuwa kipanga kweli kweli o-level na advance aliweka div 1 ya 7 PCM. Sema ujobless ulimnyoosha apa katikati. Tusikate tamaa wadau. Mie kwenye data base yangu naona wamenyofoa wawili Leo na tulikuwaga 159 😁😁 kwenye oral. Kada ilikuwa committee clerk.
Jamani Kwa ukimya huu wa pspr maana ake placement ni hakuna. Maana Sasa sababu nn ya kukaa kimya Kwa interval ndefu kama hv!! Mungu atusaidie waja wake
Izo mambo zinazotokea kwenye web na app ndio zinapelekeaga kushake Kwa status na kututesa jobless. Tumuombe Mungu na tuwe na Imani kuwa week hii itakuwa na Neema kwetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.