Recent content by fyegu

  1. fyegu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hapana kaka sio tume. Uyu rafiki yangu yeye tume alifanya mala ya kwanza kabisa zaidi ya miezi 8 imepita alifanya oral lkn akupangiwa, lkn juzi kati pale akapiga stamico. Sio tume
  2. fyegu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Uyo mshikaji wangu aliepata tume alifanya mala ya kwanza akaingia oral lkn akuitwa mwajiri alikuwa uyo uyo tume, baadae tena akaingia oral kupitia stamico now kapangiwa tume Sasa sijui ni database au usaili wa stamico
  3. fyegu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Apa tena baada ya meimosi inshallah
  4. fyegu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sisi ilikuwa Tar 11 Dec 2023. Japo apo katikati Kuna watu wamechukuliwa naisi now wamefika 10 lkn hawazidi 15
  5. fyegu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna mwanangu kalamba asali, injinia wa madini alikuwa kipanga kweli kweli o-level na advance aliweka div 1 ya 7 PCM. Sema ujobless ulimnyoosha apa katikati. Tusikate tamaa wadau. Mie kwenye data base yangu naona wamenyofoa wawili Leo na tulikuwaga 159 😁😁 kwenye oral. Kada ilikuwa committee clerk.
  6. fyegu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Jamani Kwa ukimya huu wa pspr maana ake placement ni hakuna. Maana Sasa sababu nn ya kukaa kimya Kwa interval ndefu kama hv!! Mungu atusaidie waja wake
  7. fyegu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Zile me naisi kama tumepigwa hv maana kama zimebaki elfu 30+ Kwa miezi iliobaki hawawwzi chukua
  8. fyegu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Enheee Pinacoladee una zandani kumbe ndg yangu
  9. fyegu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ndg zetu wa ICT. Vitendo wanakandwa sana aisee. Mungu awatie nguvu
  10. fyegu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Bora ata 30 lkn isikwe Kwa interval kubwa kubwa
  11. fyegu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Izo mambo zinazotokea kwenye web na app ndio zinapelekeaga kushake Kwa status na kututesa jobless. Tumuombe Mungu na tuwe na Imani kuwa week hii itakuwa na Neema kwetu.
  12. fyegu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Zile 44000 za Mh simbachawene vp wakuu?? Maana ata ndg zetu walimu nao naona kimya, mwenye Ronja atupe bhana
  13. fyegu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tumeamka sababu Giza limeisha tu
  14. fyegu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Pinacoladee Leo IT vp? Mwaka jana walifanya MDA LGA walitoboa kama wote. Mwaka huu Sasa[emoji16] na sijui zile 44 za MH. Waziri zipo au ndio siasa tu
Back
Top Bottom