Mungu ni wengi,Muumba ni mmoja,Yesu sio Muumba ila dunia ililazimisha aabudiwe rejea
Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma(mtume).
Hata chrismass na pasaka ni ibada za kitu kingine kabisa tofauti na wengi wajuavyo.