Natumai mu wazima...
Nauza pumba za dengu kunde na soya kwa jumla kilo ni 200 napatikana Tandale sokoni... kama wewe unatengeneza chakula cha kuku au ng'ombe karibu sana.
kwa mawasiliano 0674 864 371...
apdate!!!!! hospital ya wahindi nimeenda nimeambiwa nichukue mchanga wa baharini nieke kwenye kitambaa nifanye kaduara kichwa chake kiingie kwenye duara wakati akilala.... nitawapa mrejesho zaidi wadau
Natumai wazima wadau. Naomba msaada wa mawazo kichwa cha mwanangu wa miezi 6 kimekaa vibaya kama hapo kwenye picha. Wapi naweza kupata msaada wa kuweka sawa au nini nifanye.
dunia kuna maskini na tajiri huwezi badilisha kamwe... waafrika ni zero IQ
naweka list hapa la watu wenye IQ
1.Mzungu
2.mchina/mjapan/korea
3.Muhindi
4.mwarabu
5.mwafrika.
waarabu na waafrika hawajapishana sana chunguza vizuri.
hiyo ni gasi imejaa tumboni... chukua kikombe kimoja cha maji weka kwenye sufuria... chukua kitungu maji kimoja kikate vipande vidogo vidogo chukua na maji ya limau kijiko kimoja cha chakula chemsha kwa dakika 5 wacha ipoe then saga kwenye blenda na uchuje upate ile juisi yake kunywa yote ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.