Recent content by Fuqin

  1. Fuqin

    Wadau nakusudia kubadili dini na kuwa Muislamu, naomba mwongozo

    nenda msikitini utapata taratibu zote
  2. Fuqin

    Ile kandarasi ya mfumo wa TEHAMA ya Wahindi Tanesco uende kukoma

    watanzania wanachoweza ni kuiba tuu... wacha watu weupe wafanye kazi
  3. Fuqin

    Nauza pumba za dengu/soya kwa jumla

    Natumai mu wazima... Nauza pumba za dengu kunde na soya kwa jumla kilo ni 200 napatikana Tandale sokoni... kama wewe unatengeneza chakula cha kuku au ng'ombe karibu sana. kwa mawasiliano 0674 864 371...
  4. Fuqin

    Msaada: Kichwa cha mtoto kimekaa vibaya

    apdate!!!!! hospital ya wahindi nimeenda nimeambiwa nichukue mchanga wa baharini nieke kwenye kitambaa nifanye kaduara kichwa chake kiingie kwenye duara wakati akilala.... nitawapa mrejesho zaidi wadau
  5. Fuqin

    Msaada: Kichwa cha mtoto kimekaa vibaya

    kazaliwa kipo sawa ila alikuwa analalia upande mmoja wa kichwa ndio maana kikawa hivyo... leo tumempeleka hospital za wahindi upanga nitawapa mrejesho
  6. Fuqin

    Msaada: Kichwa cha mtoto kimekaa vibaya

    hizo helmet nitapata wap?
  7. Fuqin

    Msaada: Kichwa cha mtoto kimekaa vibaya

    mimi ni dume sio jike
  8. Fuqin

    Ni kitu gani huwezi kufanya kwenye gari yako?

    Mimi sibadilishi kitu naacha hivyo hivyo muhimu usafi tuu.
  9. Fuqin

    Je, nini kitatokea endapo serikali itapiga marufuku uagizaji wa magari binafsi ya kutembelea?

    wafanye hivyo kwa mwaka 1 tuone itakuwaje??? ila magari yatapanda bei sana Passo milion 15 tena choka mbaya upeleke gerej
  10. Fuqin

    Msaada: Kichwa cha mtoto kimekaa vibaya

    Natumai wazima wadau. Naomba msaada wa mawazo kichwa cha mwanangu wa miezi 6 kimekaa vibaya kama hapo kwenye picha. Wapi naweza kupata msaada wa kuweka sawa au nini nifanye.
  11. Fuqin

    Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

    dunia kuna maskini na tajiri huwezi badilisha kamwe... waafrika ni zero IQ naweka list hapa la watu wenye IQ 1.Mzungu 2.mchina/mjapan/korea 3.Muhindi 4.mwarabu 5.mwafrika. waarabu na waafrika hawajapishana sana chunguza vizuri.
  12. Fuqin

    Naombeni ushauri biashara gani ya kufungua saa 10 jioni mtaji wa kuanzia million 1

    uza chips choma kuku uuze utapata 50k ya uhakika
  13. Fuqin

    Natafuta mbia (hata zaidi ya mmoja) wa biashara ya nafaka na mafuta

    Hapa umeandika utopolo tuu... mimi ni mfanyabiashara wa nafaka lakini kwa hapa hakuna mjinga utakayempata
  14. Fuqin

    Hivi ni nani aliekata mipaka ya nchi hizi?

    mi naona imetokea tuu ikawa hivyo... au viongozi wa hizo nchi kubwa walikuwa na nguvu wakachukua ardhi zaid
  15. Fuqin

    Hivi hili tatizo gani ndugu zangu

    hiyo ni gasi imejaa tumboni... chukua kikombe kimoja cha maji weka kwenye sufuria... chukua kitungu maji kimoja kikate vipande vidogo vidogo chukua na maji ya limau kijiko kimoja cha chakula chemsha kwa dakika 5 wacha ipoe then saga kwenye blenda na uchuje upate ile juisi yake kunywa yote ...
Back
Top Bottom