Recent content by Funga Meza

  1. F

    Lowasa taabani kwenye Media. TBC1 na Star TV wakataa kurusha habari yake

    Kipindi ninacho kikumbuka star tv ni BBC swahili tuu. Sasa hata TBC na huyo Dialo wasipo onyesha kuna shida gani? Jambo lingine mnasema lowassa hakubaliki. Why wanatumia nguvu nyingi kumzima?
  2. F

    Mlinzi wa Lowassa na Kesi ya Mauaji

    Taarifa z kuaminika nikwamba mlinzi wa Lowassa anaetambulika kwa jina la Aloyce Tendewa yupo mbioni kufunguliwa kesi ya kumtishia kumuua aliyewahi kuwa Katibu binafsi wa Nyerere bwana Kasori Imefahamika Tendewa atapandishwa kizimbani wakati wowote kuanzia sasa.
  3. F

    Clouds TV badilikeni, Nyinyi sio watu wa kutumia Templates

    Clouds niwazuri na wanakadoro zao kama binadamu
  4. F

    Lowassa ni msomi, anapata nyomi

    Nadhani kwa hatua hii #Hakuna kama lowasa.
Back
Top Bottom