1.Muombe Mungu
2.kula vizuri,pumziken vya kutosha na mzuie jamaa wako kwa siku kadhaa ili wingi wa .....wepo.
3.kunyweni maji mengi kwa siku ili kuondoa sumu na damu isafiri vizuri mwilini
3.Tumieni vyakula vyenye madini joto kwa wingi.
4.Mazoezi ya kawaida fanyeni.
5.Furahia mnapokutana,Mungu...
Shida zote zinazoukumba ukimwengu ni kwa sababu ya choices za mwanadamu.Yes aliangamiza ila ukicompare na alivyorehemu na kuokoa utaona mzani unaelemea sana wapi.
Mungu anapompa mwanadamu kitu,humpa two options ili mwanadamu achague mwenyewe.Halazimishi wala haforce uamuzi wako.Alipomuumba Adam alimwonyesha mazuri yote na kisha akamwonyesha na mti wa ujuzi na mabaya.So it was Adams choice.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.