walimu hususan vyuoni wanapowaambia wanafunzi hususan freshers kuwa 'hili darasa mpo wengi mno inabidi mpungue ili kuwepo na hewa' na kuna wanaosemaga 'hii course hakuna anayeweza kupata A'
je lengo lao ni zuri kweli!?♥ na je wanatambua maana ya ualimu na madaraja yaliyowekwa!?
Im all eyes...
We huku ingia tu mlango wenyewe wa magunia so hatuzickii hodi zote. Just walk in and obey rules and regulations. Hususan hatupendelei kelele utatuharibia cmu then unikeep busy kubadili spikaz
Pole sana Ngararimo. Wenyeji wana stress za haja ndiyo maana wakali. We kuwa mpole tu sasaiv utawajua. C umeona ushaambiwa miguu cjui mizuri hapo utapata cfa zoote. We itikaga tu 'TANTEE'
Nafikiri mtoa post ulipaswa kufikiri b4 hujaweka hii kitu hapa. Unalaumu private universities yet unasahau kuwa govt institutions unazosapoti hazipo kama zamani. Chukua mfano mdogo tu wa matokeo ya form 4, shule zilizoitwa spesho kipindi hicho zimeanzia nafasi ya 47 yet shule zinazoongoza ni...
Kweli wakoloni wametuharibu. Kwahiyo for the rest of Tanzanians life hatukutarajia kuwa na wanafunzi wanaofaulu kwa daraja la juu ktk fani ya uhandisi!?
Kuna Dr. M1 pale DIT aliwahi kusema kama angefanya pHd yake UDSM ingemchukua hata a decade kukamilisha. Instead alisoma Florida State Univ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.