Recent content by Fundi umeme

  1. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Nauza TV Smart, 4K

    hiyo
  2. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Nauza TV Smart, 4K

    Habari, Nauza tv yangu imetumika kwa muda mchache ila ni bado mpya kabisa aina ya LG inch 21 inaonyesha picha nzuri zaidi ya FLAT bei tsh 50,000. contact 0753505115 na 0715505115.
  3. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Nauza TV Smart, 4K

    habari nauza tv yangu mpya kabisa full box aina ya ALITOP inch 32 smart kwa bei ya kutupa kabisa bei ni tsh 200,000 namba ya kunipata 0753505115 au 0715505115
  4. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya account yangu ya WhatsApp

    nimetumia na official bado ikifika kwenye verification code inasach alafu inaandika hivyo tena.
  5. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya account yangu ya WhatsApp

    kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu nilikuwa natumia WhatApp GB ghafla ikaexpire nikadownload upya nikiunga inaniandikia account not verified nimetuma na picha hapo chini jinsi inavyokuwa.
  6. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya akaunti yangu ya WhatsApp

    naombeni msaada kama kichwa cha msg hii kinavyojieleza hapo juu namba yangu nikijiunga na whatsap inaniandikia you need the official account to use these.
  7. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania House4Rent Nyumba ya kupangisha ipo

    Kama kichwa kinanyojielezea nyumba ya vyumba vitatu vya kulala kimoja master sitting room, dining na jiko na Choo cha public nyumba ni mpya kabisa ina eneo kubwa la kulaza ata gari 4 na tenki la maji lipo nyumba ipo mbezi nyuma ya stendi ya magufuri umbali kama wa mita 700 toka stendi na bei ni...
  8. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania African Satellite World and Sat Gear

    Msaada eti wapi naweza pata kingamuzi cha media com na kinapatikana kwa sh ngap.
  9. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania African Satellite World and Sat Gear

    Plz kaka msaada naomba freq za kusetia dishi la canal na zile dishi kubwa ili niingize kwenye finder yangu au kama ntaweza kupata app ambayo naweza kupata hizo satelite za decoder mbali mbali ili nipakue mm mwenyewe.
  10. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Natafuta tv ya chogo ya ukubwa kuanzia inch 21 bajeti yangu tsh 50,000 my cont 0753505115 au 0715505115.
  11. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania Nahitaji line ya airtel money .

    Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu natafuta line ya airtel money iliyo kazini na ww ndo uwe mmiliki kama hauifanyii biashara kwa sasa na naomba iwe na document zote halali za umiliki wake mawasiliano 0753505115 na 0715505115 niko dar kimara. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania Nauza pikipiki aina ya boxer

    Risiti ipo kiongoz.
  13. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania Nauza pikipiki aina ya boxer

    Discount ipo kiongozi nifuate inbox au Nipigie
  14. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania Nauza pikipiki aina ya boxer

    Nauza PIKIPIKI aina ya boxer imetumika miezi 10 na uko katika hari nzuri kabisa na haina tatizo lolote na kila kitu kipo amna magumashi inapatikana kimara baruti bei 950,000 laki Tisa na nusu cont 0753505115, 0715505115
  15. Fundi umeme

    JamiiForums Tanzania Zuku decoder

    Ipo pamoja na dish lake bei 80 k mawasiliano 0715505115 au 0753505115.
Back
Top Bottom