Watanzania (wanaoulilia mlima Kilimanjaro), niwaulize: Wamefaidika nini na uwepo wa mlima huo ndani ya mipaka ya nchi yao?
Wanaulilia ili wabaki kuutazama tu? Inaeleweka na kufahamika kwamba mlima Kilimanjaro uko kenya na kwa miaka nenda miaka rudi, wakenya ndiyo wanaofaidika na mlima...
...niliwahi kuhoji mahala [wakati huo rose migiro-asha] akiwa un. Nilihoji: "hivi, dr.rose asha rose
migiro, anafanya nini umoja wa mataifa [un]? Nikaendelea kuuliza [wakati huo japan ilikuwa imepigwa na
tsunami na kuwepo kwa tishio la mionzi ya ki-nyukilia kusambaa duniani kwa njia ya...
...yote haya ni matokeo ya muungano kati ya tanganyika na zanzibar, kufanywa kizimamoto. Laiti kama muungano huu ungeshirikisha wananchi wa pande zote mbili, hivi vitisho, kashfa, kejeli na upuuzi mwingine tunaoushuhudia sasa visingekuwapo. Hapa tulipofika sasa ni lazima ukweli usemwe na...
.....upuuzi mtupu!....hapa tulipofika hatuhitaji tena upuuzi wa vyama! Yapo mahitaji ya msingi
tunayoyahitaji kwa sasa kama taifa:
1. Katiba mpya yenye misingi ya demokrasia-shirikishi.
2.maisha bora yenye staha
-elimu bora
-huduma bora za afya
-chakula cha kutosha
-maji safi na salama...
.....pamoja na madhaifu mengi ya mwigulu nchemba, anachonifurahisha ni kwamba, anatumia takwimu na vielelezo vyao wenyewe chadema kuwatoa kamasi!...anautumia vizuri sana udhaifu wa chadema na kuwashambulia!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.